Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
"Mamlaka ya CAG ni kukagua taasisi za Serikali. Kitu kinachokwamisha ukaguzi wa Sekta yetu ya Madini ni makampuni yanayochimba madini nchini kumilikiwa na wageni, hivyo hakuna umiliki wa Serikali,"
Prof Assad, aliyekuwa CAG
Wiki ya asasi za kiraia
Prof Assad, aliyekuwa CAG
Wiki ya asasi za kiraia