Prof. Assad: Kinachokwamisha ukaguzi sekta ya madini ni kukosa umiliki wa Serikali

Prof. Assad: Kinachokwamisha ukaguzi sekta ya madini ni kukosa umiliki wa Serikali

Yaani watu aina ya Lissu huwa wanaungwa mkono na watu wajinga wa mambo mengi tu.....

Kwanini ninasema haya?!!!

Ni Lissu huyuhuyu aliyeipinga serikali ya Tanzania isilijenge bwawa la kufua UMEME LA MWALIMU NYERERE kwa hoja "nzuri tu"....nzuri tu-UHARIBIFU WA MAZINGIRA🤣

Lissu aliLOBBY wabunge wa CDU Cha ujerumani kupinga huo mradi mule BUNDESTAG(bunge la ujerumani) kwa kuwatumia marafiki zake akina David Mc Alister(pichani).....

Mungu si babu yangu hayati mzee Jumbe wala WariobaView attachment 1988844....Leo hii CDU Chaliiiii🤣🤣🤣

Ndugu Lissu abadilike....atubu na kuachana na "makuwadi wa ubeberu duniani"

Aaaaaamin Allah amuongoe aaaamin🙏

YETZER-HATOV

SIEMPRE JMT🙏💪
Acha kupotosha CAG ndio alisema mwenyewe kwamba Bwawa limejengwa kwa feasibility study/EIA ya miaka ya 1970s kwahiyo haikufanyiwa upembuzi kwa current situation. Ama CAG naye alitumika na Lissu??
 
Wapinzani wanatumiwa na mabeberu katika ku-pressurise huo ugawaji in Mabeberu's favour. Angalia hata suala la chanjo.
Ripoti ya Prof Osoro mbona zilitaja wana CCM watupu kuhusika na ufisadi kuanzia sheria za bungeni mpka kutoa mikataba mibovu. Kama walitumia serikali hiyo hiyo kukwapua madini kivpi watumie upimzami ambao hawana hata jimbo moja nchi nzima?

Reasoning yako ni kma hiyo avatar yako
 
Magufuli alipigania huo umiliki Lissu akamuambia tutashitakiwa MIGA!
Ni kweli MIGA inalinda private property za wawekezaji dhidi ya expropriation au uncertainty ya mabadiliko ya kisera ndani ya host country.

So alichosema lissu ni kwamba kama tunataka kupambana nao basi tujitoe kwanza kwenye hizo sheria zinazotufunga and he was right tulibadili kwanza sheria kabla ya negotiations ila tungeenda na sheria zile zile tungejicontradict.

Mfano MIGA inataka kesi ziwe solved mahakama/arbitration za kimataifa mfano ICSID ila sio mahakama za ndani. And kweli mabeberu walishtaki na hiko kifungu kimefutwa sasa how comes Lissu alikosea kushauri alichosema?? Wakati mlifanya hivo hivo eventually!!
 
Waliona nchi ikiendelezwa na Magufuli watu watazidi kumkubali. Ikawa bora nchi ikose ili Magu asipate sifa! Akili za wanaojiita wapinzani!
Walifanya mengi tu ya aina hiyo, ikiwemo;
1. Kuchochea ndege mpya zilizonunuliwa zikamatwe ughaibuni!
2. Nchi inyimwe msaada na IMF na washirika wengine, nakumbuka kampeni za kina Zitto!
3. Kudanganya(japo walisakamata wachache) kwamba kujenga barabara, flyovers, hospitali, miundombinu ya umeme nk. ni maendeleo ya vitu na siyo watu!
4. Tz watu wanakufa kwa mamilioni kushinda nchi nyingine kwa corona sababu ya msimamo wa Magu!
5. Tushushwe toka uchumi wa kati!
Nk.
1. Walichochea kivipi wakati walisema serikali iweke wazi sababu za ndege kushikiliwa Canada!! Na hapo kesi ilishatokea wao waliripoti tu sasa kivp walichochea??
2. Kunyimwa msaada ni serikali sio nchi!! Kwanini mnapenda kublend nchi na serikali??. Serikali ya CCM inaweza kunyimwa msaada ila wananchi bado wanaweza kupewa msaada kupitia njia mbadala mfano mshirika ya dini n.k
3. Maendeleo ya vitu ni kwamba mfano SGR unawekeza say trillion 15 mpka ikamilike ilihali kilimo kina ajiri labor force zaidi ya 70% kinatengewa bajeti ndogo sana je ipi hapo ni maendeleo ya watu. Maana Ethiopia wana SGR and all that ila HDI ipo chini sana maana kipato cha mtu mmoja mmoja na regional disparity/inclusiveness ni kubwa sana.

4. Yes watu walikufa wengi mbona ipo wazi ambacho JPM alifanikiwa (Nimpongeze) ni kutoa hofu na kubana media ila vifo vilikua vingi tu. So wapinzani wana haki kulaumu serikali kwa kushindwa kucontain tatizo kwa kuneglect situation. Mfano ukifika UDSM pale waliugua professors wengi sana, ukifika unaambiwa barakoa lazima na unaongelea dirishani tu. Ila ukitoka tu pale unaambiwa na JPM Corona haipo. Sasa kipi ni kipi? Kwani kukubali corona ipo ni dhambi? Hyo ilikua ni mistake hadi ikapelekea kifo chake maana hakujua asimamie wapi ipo (Ntaonekana dhaifu) au haipo (Ingawa inaua).

5. Yes hiyo hoja ina mashiko GDP inaangalia zaidi tu thamani ya expenditure ama mauzo ndani ya mwaka husika. Mfano mnajenga SGR imewekezwa trillion 15 mind you ile inaingizwa kwa GDP maana inagawanywa tu trillion 15 versus population ya watu unapata maybe dollar 100 kila mtu basi wanasema waTZ kwa mtu mmoja anaingiza dollar 100!! Huwa hai-factor in inclusiveness, income distribution, regional disparity. Yaani hata hela mnazotoa hospitali kutibu magonjwa zinahesabika kwenye GDP!! So its misleading kulinganisha na hali ya uchumi wa raia mmoja mmoja.

Kikwete uzuri alikosoa wazi kabisa na tokea siku hiyo hizo kelele za uchumi wa kati zikafia hapo. Maana zili distract uhalisia wa mtaani hivyo serikali ingepata complacency kumbe raia wana shida bado.
 
Back
Top Bottom