Prof. Assad: Ni wajinga tu ndio wanaonunua ndege kwa cash

Prof. Assad: Ni wajinga tu ndio wanaonunua ndege kwa cash

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Hii ni tweet inayoombatana na video huko twitter:

Prof. Assad anasema "..You can't buy airline by cash, hakuna yeyote anayenunua ndege kwa cash...wapi umeona?..hakuna mtu ananunua ndege kwa cash. Watu wajinga sana ndio wanaweza kufanya jambo hili..."


 
Wacha watu watapike watakavyo dhidi ya mwendazake, kwa kuwa alivyokuwa hai watu hawakuthubutu kuyatamka hayo kutokana na jamaa alivyokuwa mlipaji visasi kwa yeyote anayeonekana anampinga kutokana na jinsi anavyoiendesha nchi yetu shaghala baghala
 
Kauli hii ya kizalendo imetolewa na Profesa Musa Assad alipokuwa akiongea kwenye kongamano la chuo kikuu cha Kiislam Morogoro.

"Kwenye miradi hii ya muda mrefu mikopo ni sahihi , cash ina kazi yake na mikopo ina sehemu yake "

Nini maoni yako kwenye hili?
 
Prof.Mussa-Juma-Assad_768_972shar-50brig-20_c1_c_t.jpg

Huu Mwamba! Haujaokotwa jalalani kama yule Mbwiga.​
 
Back
Top Bottom