Prof. Assad: Wanaotaka viongozi wakubwa waongezewe madaraka ni 'mazuzu'

Kweli kabisa ni mazuzu yakazuzuka.wewe unaona kabisa mkataba ni tata lakini bunge zuzu linapitisha tu huo upuuzi
 
Habari ya mwaka juzi mnaleta kama ya Leo Ku push "agenda"??
 
Mazuzu=manyumbu hata yakiona yanaangamia yanaenda tu na kubaki kuchekana!
 
Kazi kwao walinda legacy, Mzee wa Atake asitake and co.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…