Elections 2010 Prof. Baregu Ajibu Mapigo kwa Kinana na Makamba

Superman

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2007
Posts
5,693
Reaction score
1,702
Kiongozi wa Kampeni za CHADEMA Prof. Baregu amekanusha madai yaliyotolewa na CCM kupitia Meneja wa Kampeni za CCM Kinana na Katibu Mkuu wa CCM Makamba kuwa CHADEMA wametumia lugha ya matusi katika kuzindua Kampeni zao.


Akiongea na ITV katika kipindi cha Taarifa ya Habari leo saa 2.00 Usiku; Prof. Baregu aliweka wazi kuwa:
  1. Lugha iliyotumika katika Ufunguzi wa Kampeni za Chadema ni ya Uwazi Zaidi na si Matusi kama inavyodaiwa.
  2. CCM watofautishe kati ya Ukweli na Kutukana
  3. Tatizo lao kubwa nia Kashfa ya EPA
  4. Asema suala la EPA hata Mahakamani hazijaonysha Sura kamili
 
Natamani Makamba awe wa kwanza kujibu hoja za Baregu. Manake kasema viongozi wa CHADEMA akili zao ndogo. Sasa najiuliza, kati ya anayewataja wezi wa fedha za wananchi na anayesema wenzake hawana akili ni nani anayetukana hapo? Japo sijaona namna alivyolielezea hilo Prof. Baregu, lakini naamini atakuwa amelisema kwa ustaarabu mkubwa kama ilivyo kawaida ya CHADEMA, na kwa kupayuka payuka kama ambavyo katibu mkuu wa CCM hufanya.
 
CCM walidhani mambo ni rahisi...hachaguliwi rais wa nchi kwa kuuza sura hapa.....
 
warete warete warete mwaka huu joto litapatikana
 
Tusi ni kitu ambacho ni subjective and its not objective at all, na kama umeisha wahi kuchunguza,mara nying mtu akiambiwa ukweli huwa anasema ametukanwa,kitu ambacho kwa karne ya sasa hakina mantiki yoyote, ukiharibu, lazima uambiwe kuwa umeharibu na ukiiba lazima uambiwe kuwa umeiba na siyo vinginevyo, huo ndo ukweli na uwazi.Kama unaona kuwa wewe umetunkwa, tuna chombo kinachotafasri sheri, Mahakama, nenda huko ukasake haki yako na siyo kuanza kulalama na kutafuta huruma za wananchi mnaowaibia kila siku, nyie mnaendelea kunenepa wao wanendelea kukondeana.
 
Prof. Baregu, Kinana na Makamba kati yao nani ana akili ndogo.
 
jamani mmepata habari ya masha kuwa NEC INMETENGUA USHINDI WAKE WA MEZANI KAMA INAVYOSOMEKA KWENYE WALL YA MASHA KWENYE FACE BOOK

Tume ya Uchaguzi Taifa umetengua maamuzi ya Msimamizi wa Uchaguzi Nyamagana na kuamua kwamba uchaguzi utaendelea! Seems funny though as the appeal was out of time and unprocedural! I will now start my campaigns on the 14th of September!

KAZI IPO WA NDUGU
 
jamani mmepata habari ya masha kuwa NEC INMETENGUA USHINDI WAKE WA MEZANI KAMA INAVYOSOMEKA KWENYE WALL YA MASHA KWENYE FACE BOOK

Tume ya Uchaguzi Taifa umetengua maamuzi ya Msimamizi wa Uchaguzi Nyamagana na kuamua kwamba uchaguzi utaendelea! Seems funny though as the appeal was out of time and unprocedural! I will now start my campaigns on the 14th of September!

KAZI IPO WA NDUGU
 

Weka kama Breaking news mazee!
 
Prof.baregu na makamba? Kichuguu na mlima
 
Prof.baregu na makamba? Kichuguu na mlima
Eti gazeti la habari leo limeandika hii story, upuuzi mtupu.Kuna ndugu alisema jana kuwa kuna magazeti yameandaliwa kuimaliza chadema, lakini kwanza yajenge credibility kwa wasomaji kuwa hayko biased ili yakija kuibomoa chadema watu waamini.Chadema be careful an habari leo, waambieni wananchi kuwa hilo gazeti lina ajenda ya siri
 
SUPERMAN unaonekana uko karibu na timu ya Kampeni ya CHADEMA, waamnbie kuwa Govy machinery inatumika kuwapotosha wananchi kuwa CHADEMA kwa kuweka hilo pingamizi inataka mishahar hiyo isitishwe. Hivyo watow ufafanuzi vizuri CHADEMA inapainga na nini kilikosewa. Wasoiwaachie waandishi wa habari bila ya kuwalisha vilivyo na makos yaliyofanyika kwa kuwa hata waandishi wengi hawajui separation of powers between the three organs State. Legisalature na Judiciary
 
Mavi na tuyaite mavi, hayabadiriki uhalisia wake ukiyaita kinyesi au jina jingine. Mtu anayechukua mali ya mwenzake bila ridhaa ya mtu huyo ni MWIZI, na kwa maana hiyo KIKWETE, LOWASA, Rostam AZIZ, na wengine wote waliohusika kuchukua mali zetu kupitia akaunti ya EPA ni WEZI
 

Tujaribu kuratibu na JF kama watapatikana Waandishi Independent na tuwape vitendea kazi waambatane na JK na WS na IL ili tupate habari ambazo hazijachakachuliwa.
 
Leo asubuhi kwenye taarifa ya habari ya Clouds fm nimesikia sehemu tu ya speach ya mzee mzima BAREGU.
Ni nzuri sana, kama kuna mtu ana interview nzima atushirikishe kwa kuirusha hapa jamvini.
Nawakilisha
 
Natamani kipengere hiki nimpatie Makamba mkononi mimi mwenyewe.
 
Nahisi Makamba anafaa kuwa mkuu wa wilaya zaidi ya ubunge & ukatibu mkuu wa CCM. Anajua zaidi kukimbizana na wamachinga zaidi juu ya biashara zao kule kariakoo na manzese. Few weeks ago, alikataa barua ya Uhamiaji kwa kudai kuwa ingawa wanamtambua Bashe kama raia, yeye anamtambua kama sio mtanzania. Mtu mwenye akili timamu kama hajaandaliwa na wazee namna ya kupangua maswali, huwa anaahirisha kuongea na media and not kupayuka bila kutumia akili. Leo anakuja kujiona ana IQ kushinda watu wenye akili zao kama Prof. Baregu, msomi anayeaminika na wenye akili ila aliyekataliwa na wasio na akili kama serikali ya CCM kwa sababu anawaambia ukweli. Anaenda kujilinganisha na Dr. Slaa wakati mwenzie anaongea kwa facts while yeye anaongea kama mswahili wa barazani as kupayuka huko ndiko kunakompa kula yeye na wanae (ambao wanapewa vyeo vikubwa kupitia mgongo wa kupayuka huko).

Wana JF, sidhani kama kuna haja ya kupoteza virutubisho vya mwili kuwa-compare Makamba na Prof. Baregu; tofauti ni kubwa sana kwanza kielimu na pili hata confidence ya kuongea ukweli.
 
Makamba na Prof ni sawa na......................... nsije kamatwa bure ISP izi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…