Prof: Baregu ameshindwa kumtaja aliratibu vikao vya kuikataa rasimu ya II ya Katiba CCM

Prof: Baregu ameshindwa kumtaja aliratibu vikao vya kuikataa rasimu ya II ya Katiba CCM

Dupe

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2013
Posts
1,668
Reaction score
811
Katika kipindi cha 360 - Clouds Tv jana usiku kulikuwa na Prof Baregu na Humphrey Polepole wote wakiwakilisha vyama vyao ila kilitokea kituko kimoja ambacho sitakuja kusahau mara baada ya Prof kusema mgombea wao anasimamia kuipata katiba mpya chini ya rasimu ya II ya Katiba... Polepole alimuuliza Prof hivi ni nani alieratibu mpango wa kuikataa rasimu ya II ya Katiba ndani ya CCM..? Prof alionekana kukosa jibu .. Polepole akamuambia tena Prof kuwa mkweli leo nai aliratibu mipango ile.? Polepole akaendelea kufafanua kwa kumuambia Prof mwenyewe ulikuwepo kwenye vile vikao wote tulikuwepo na ukweli unaujua leo kipi kinakufanya uamini mtu yule anaweza kukuletea katiba ile....? Prof maskini alikosa majibu pale nae nikaona anainama chini tu.....

Prof nilikuwa nakuamini sana ila jana umesikitisha na kunifanya nikuone nawe mchumiaa tumbo tu kwani kama ungeweka msimamo kama uliokaweka pale Chadema walipokuambia usiende kwenye tume ukawajibu TAIFA KWANZA ..CHAMA BAADAE basi ningekuiona shujaa leo japo kwakutuonyesha watanzania nani aliratibu mpango wa kukataa rasimu ile nasi tungewakumu bila kuwaangalia usoni ila nawewe umekuwa mshabiki na mtu wakulusha vijembe kweli Prof.....?????
 
Alikataa kwa sababu kikwete alikuwa na msimamo huo kwa niaba ya chama. Unadhani kwa mazingira hayo angesemaje ? Je magufuri ataleta katiba mpya?
 
Alikataa kwa sababu kikwete alikuwa na msimamo huo kwa niaba ya chama. Unadhani kwa mazingira hayo angesemaje ? Je magufuri ataleta katiba mpya?

mkuu unamjua nani aliongoza genge la kuikataa rasimu?
 
mkuu unamjua nani aliongoza genge la kuikataa rasimu?
Hawatakaa wakujibu, watu wanaokataa ukweli? Na kuyakana maneno yao wenyewe!!!? Halafu wanataka tuwaamini eti watatuletea maendeleo??!!! Kituko cha mwaka.
 
Polepole hana jipya....alishindwa kuzungumzia mada!
Viva ukawa!!!

@Humphrey polepole ni sawa na Chaggadema wote nchi nzima.Chaggadema wanamwogopaaaaa.Wakisikia tu polepole Wanakimbilia Stand ya chato.Huyo Prof Njaa kibaraka wa Mbowe amekubalije kwenda hapo kujiabisha mbele ya kijana MAKINI NA MATATA Polepole??!
 
@Humphrey polepole ni sawa na Chaggadema wote nchi nzima.Chaggadema wanamwogopaaaaa.Wakisikia tu polepole Wanakimbilia Stand ya chato.Huyo Prof Njaa kibaraka wa Mbowe amekubalije kwenda hapo kujiabisha mbele ya kijana MAKINI NA MATATA Polepole??!
Ibrahim wewe mpare wa wapi mshamba hivi? Punguza size ya maandishi yako au kapime IQ lazima kuna tatizo
 
Issue ya Katiba Pandikizi ni kaa la moto kwa CCM. Hii ndio maana hata humsikii Magufuli akiitaja. Ni BOMU kwa CCM na serikali. Hapo mumeteketeza BIllions za walipa kodi wa Tanzania kwa katiba yenu Pandikizi!
 
Alikataa kwa sababu kikwete alikuwa na msimamo huo kwa niaba ya chama. Unadhani kwa mazingira hayo angesemaje ? Je magufuri ataleta katiba mpya?

Ndiowai l kumuliza Pole Pole, Je Magufuli alitetea? A long as EL yuko UKAWA tunaweza kumwuliza kuhusu katiba mpya, Je tuna uwezo wa kumwuliza Magufuri na Samia kuhusu katiba ya wananchi wakichaguliwa?
 
Polepole anawaza kitu kimoja tu na ueleleo mmoja tu dhidi ya Lowasa. kila aliloulizwa alitafuta jambo ili aseme vibaya juu ya Lowasa. alikuja kumshambulia Lowasa. kwa mahojiano ya jana niliona dhahiri upotofu wa Polepole
 
Humphrey Polepole na static mindset.

Kama Lowasa ndiye aliratibu kuikataa rasimu ya Warioba kwa nini ccm haikumzuia? Ccm haiwezi kuzuia mipango ovu.

Kama aliratibu akiwa ccm, na akazidi nguvu ccm wote, kumbe Lowasa sasa kabadilisha mindset, ataisimamia na hawezi kuzuiliwa na mtu.

Kama ccm walikuw ahawaitaki hiyo katiba mbovu kwa nini walikuw awanaipigia debe? Huu siyo wehu kusema ccm zima ilitiishwa chini ya lowasa na kushangilia mipango yake ya kifisadi!.

Kwlei ccm ni wehu.

Sasa polepole kwisha habari ya unafiki wako. Sis is Lowasa, Lowasa na UKaWa, ukawa na katiba mpya, katiba mpya na watanzania. Maccm mtupishe na wendawazimu wenu.
 
Dupe acha urongo. hakukuwa na mratibu wa kuikataa katiba mpya kwani kama angekuwepo basi tume ya akina polepole ingetueleza wazi kuwa kuna mratibu maalum wa ccm anayeratibu kuikataa katiba. Polepole ni mrongo na anayo kawaida ya kuwalisha watu maneno. Profesa Baregu ni msomi aliyebobea hivyo sio rahisi kumlisha maneno. kama kuna mratibu wa kuikataa katiba mpya basi ni Samwel Sitta na Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais Kikwete. Sisi sote tulimsikia
Katika kipindi cha 360 - Clouds Tv jana usiku kulikuwa na Prof Baregu na Humphrey Polepole wote wakiwakilisha vyama vyao ila kilitokea kituko kimoja ambacho sitakuja kusahau mara baada ya Prof kusema mgombea wao anasimamia kuipata katiba mpya chini ya rasimu ya II ya Katiba... Polepole alimuuliza Prof hivi ni nani alieratibu mpango wa kuikataa rasimu ya II ya Katiba ndani ya CCM..? Prof alionekana kukosa jibu .. Polepole akamuambia tena Prof kuwa mkweli leo nai aliratibu mipango ile.? Polepole akaendelea kufafanua kwa kumuambia Prof mwenyewe ulikuwepo kwenye vile vikao wote tulikuwepo na ukweli unaujua leo kipi kinakufanya uamini mtu yule anaweza kukuletea katiba ile....? Prof maskini alikosa majibu pale nae nikaona anainama chini tu.....

Prof nilikuwa nakuamini sana ila jana umesikitisha na kunifanya nikuone nawe mchumiaa tumbo tu kwani kama ungeweka msimamo kama uliokaweka pale Chadema walipokuambia usiende kwenye tume ukawajibu TAIFA KWANZA ..CHAMA BAADAE basi ningekuiona shujaa leo japo kwakutuonyesha watanzania nani aliratibu mpango wa kukataa rasimu ile nasi tungewakumu bila kuwaangalia usoni ila nawewe umekuwa mshabiki na mtu wakulusha vijembe kweli Prof.....?????
 
Yaani Lowassa ndio alikuwa CCM? Maana kila baya alifanya yeye tu. Sasa kwanini hakupitishwa kugombea urais? Slowslow anaweza kujadili hili labda?
 
Prof. Jana ndo kashindwa, alibaki akitikisa tu kichwa, Polepole kweli nimemkubali, HAKOPESHI.
Mkuu huyo polepole ni nani tena??yuko chama gani?teh,teh...kama ni yule wa Taasisi ya Nyerere kaa kimya ya kwake huyajui unamwona ni mtu safiii....ni mchumia tumbo tu.
 
Alikataa kwa sababu kikwete alikuwa na msimamo huo kwa niaba ya chama. Unadhani kwa mazingira hayo angesemaje ? Je magufuri ataleta katiba mpya?

Mnamtafutia kila aina ya excuse; si Kingune alipingana na Nyerere na akakubali kuwajibishwa? Hivi huyo jamaa amewahi kuwajibka kwa kitu gani alichokifanya yeye?
 
Back
Top Bottom