Rasimu ilichakachuliwa na Lowassa akishirikiana na swahiba wake Chenge. Kuna vipengele vilikuwa vinawabana wao mafisadi. Hii kusema ataiendeleza ni kiini macho. Na polepole anasema Lowassa hataki serikali tatu maana rais wa muungno hana nguvu kivile ukilinganisha na wa Tanganyika maana ndo mwenye mali zote za Tanganyika