jamani mama Prof Bhalalusesa ni mtu mweledi sana na namkumbuka zaid kama mwl wangu EA. Alipokuwa head wa department alisaidaia sana hii department ya Education planning and management na hata alipokuwa Dean wa faculty alionyesha kupevuka zaid kwani ndiye dean ambaye alisimamaia mabadiliko yenye tija kwenye kila department ndani ya faculty.
Tatizo ni kwamba UDSM iko na bureaucracy za kisiasa sana hivyo mama wa watu aliface challenge kubwa sana ili kuweza kuweka elimu iwe elimu na siasa iwe siasa na ndio mana alipigwa majungu sana. but dr Kitila mkumbo anakumbuka alivyojitahidi sana kumfanya huyu mama akubali challenge anazo face na pia kufanya nae kazi kwa karibu wakati wote wa uongozi wake.
kama ni kamishna wa elimu sina shaka na juhudi zake na uwezo wake katika planning and administration ila ninatatizo na uwezo na ujasiri wa yeye kukubali changamoto anazopitia katika kazi yake hii.
ukisoma professorial inaugural lecture yake utaona how capable she is kwenye hii kazi ila tu kiuhalisia atamudu changamoto?? to me ningeambiwa nimshauri ningesema amchukue Dr Kittila Mkumbo kama katibu wa wizara ya elimu ili wafanye kazi kwa pamoja.