TANZIA Prof. Emmanuel Ruben Mbiha afariki dunia

Duniani ukiwa mwema unasindikizwa na comments mzuri.
God created the Good & the evil. Ni kuchagua tu , unataka ukumbukwe kwà yapi utakapo ondoka.

Mungu hapendi kabisa waliovuguvugu. Anapenda watu waliofanya maamuzi ya kutenda wema, au uovu wangali bado hai.
 
Huyu mzee nilikutana 2012 Glonecy 88.

Nilienda kumuona kuhusiana na corporate branding kwa niaba ya kampuni moja ya vinywaji nikiwa kama muwakilishi.

Hospitality aliyonipa huyu mzee siwezi sahau.

Nilipewa the best of service hapo hotelini ikiwemo malazi na chakula bure kabisa.

Nilikuja fanya nae kazi ya marketing na branding tofauti na niliyoendea kwa malipo na mazingira mazuri mno.

Mungu amlaze pema huyu mzee. Alikuwa mkarimu mno.
 
Ok, kumbe ndio wewe ambae ulikua umevaa shati fulani hivi...ukawa unasalimiana na kina Mhe. Mavunde pamoja Mhe. Mtaka? Nilikuona Ndugu.

Jitahidi na Jumatatu uwepo Morogoro , siku ya mazishi.
Moro anakaa wapi huyo prof.
 
Mwalimu alikuwa mpole sana, madini mengi kichwani jamanii looh!
Ayu 1:21 SUV

akasema, Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nili uchi, nami nitarudi tena huko uchi vilevile; BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA na libarikiwe.
 
Ndiyo mkuu mtaka alikuwa school mate wangu japo aliniacha shule na mavunde alikuwa shemeji yangu kwasababu mdogo wake nimemla mla sie ndiyo watoto wa Area D
Ok, kumbe ndio wewe ambae ulikua umevaa shati fulani hivi...ukawa unasalimiana na kina Mhe. Mavunde pamoja Mhe. Mtaka? Nilikuona Ndugu.

Jitahidi na Jumatatu uwepo Morogoro , siku ya mazishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…