Profesa Amekuza vijana wasomi nchin na duniani. Ameondoka UDSM 2006 akiwa na nguvu. Wewe kijana upo Halmashauri ya Kaliua umebweteka na madiwani wasiojielewaPole kwa wafiwa. Ukoo wa bibi yangu, atakuwa msibani usiku huu.
Kabaki Prof. Kilama pale
Umeona form six hapo?Professorial CV.
Imekamilika hasa.
Rest Easy Prof.
Hata kama una ka degree au ka diploma ni umaamuma kuweka sijui O'level or High school.Umeona form six hapo?
Sidhani kama hii quote ilikuwa inanihusu. Umeandika vitu havihusianiProfesa Amekuza vijana wasomi nchin na duniani. Ameondoka UDSM 2006 akiwa na nguvu. Wewe kijana upo Halmashauri ya Kaliua umebweteka na madiwani wasiojielewa
Kagera inalia, dunia nzima inalia. RIPrest in peace pr
Nimesema hivyo kimkakati. Mara nyingi wanaoanzia diploma badala ya digrii Moja kwa Moja, super glue inshusika mahaliHata kama una ka degree au ka diploma ni umaamuma kuweka sijui O'level or High school.
Kwenda high school ni maamuzi wala haina ulazima. Wengine wakimaliza O'level hupita njia ya vyuo jadi kufika huko. Prof. Mwandosya na Prof. Martin Luhanga ni miongoni mwa ambao hawakupita hiyo njia ya form 5 na 6.Nimesema hivyo kimkakati. Mara nyingi wanaoanzia diploma badala ya digrii Moja kwa Moja, super glue inshusika mahali
Poleni sanaWaheshimiwa wana Kagera NASIKITIKA kuwajuza Leo hii tumepata pigo zito kuondokewa na Msomi, mpenda maendeleo na Mbunifu Profesa Dr. Erasmus Kaijage (PhD Sheffield) Muda haitoshi kuelezea CV yake. Naambatanisha Kwa marejeo (reference).
Binafsi Prof Kaijage, E. (PhD) alikua External examiner wa thesis yangu ya PhD.
Nitamkumbuka daima.
Poleni wana-Kagera.
NB: Taarifa zaidi tutazidi kutaarifiana zaidi.
💩Watu wengi wa Pwani na Zanzibar hatujasoma Elimu dunia Sasa tukisikia wasomi tunajaa ghilba
Prof. MARTIN Luhanga ndio namsikia leo.Kwenda high school ni maamuzi wala haina ulazima. Wengine wakimaliza O'level hupita njia ya vyuo jadi kufika huko. Prof. Mwandosya na Prof. Martin Luhanga ni miongoni mwa ambao hawakupita hiyo njia ya form 5 na 6.
Tena Prof. Mwandosya hata Master hakuwahi kusoma, lakini ana PhD.
So haifai kusoma kwa kukariri