Prof Ibrahim Lipumba: Sera ya serikali katika huduma ya Afya ni kuwa wanawake wajawazito watatibiwa bure ni kama danganya toto

Prof Ibrahim Lipumba: Sera ya serikali katika huduma ya Afya ni kuwa wanawake wajawazito watatibiwa bure ni kama danganya toto

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Sera ya serikali katika huduma ya Afya ni kuwa wanawake wajawazito watatibiwa bure ni kama danganya toto. Mfano wa kusikitisha ni wa marehemu Husna Saidi Abdallah aliyejifungua katika Hospitali ya Kivinje, Kilwa.

Afya yake ilianza kudhoofika Kwa tatizo la upungufu wa damu na kuvimba miguu. Alikaa Hospitali mpaka ilipofika tarehe 6/12/2024 alipohamishiwa Muhimbili. Akiwa kule Muhimbili iligundulika kuwa moyo wake umetanuka na Figo hazifanyi kazi vizuri.

Gharama za matibabu ya “Dialysis na ICU” zilifikia shilingi milioni 5. Baada ya marehemu kufariki ndugu hawakuruhusiwa kuchukua mwili kwa sharti mpaka wamelipa milion 5 deni la matibabu familia haikuwa na Ml5, SERA ya kumtoza deni Maiti niya kikatili naya fedheha Tunatoa wito kwa Serikali na hasa Rais Dkt Samia kama mama kuachana na sera hii."
 
Bongo kila kitu maigizo,ni futuhi ndio ni futuhi.

Userious wa wanasiasa wa bongo unaonekana pale ambapo madaraka yao yako hatarini hususani ujio wa katiba mpya na chadema imara.

Hapo hata kuua wanaua bila kusita.
 
Sera ya serikali katika huduma ya Afya ni kuwa wanawake wajawazito watatibiwa bure ni kama danganya toto. Mfano wa kusikitisha ni wa marehemu Husna Saidi Abdallah aliyejifungua katika Hospitali ya Kivinje, Kilwa.

Afya yake ilianza kudhoofika Kwa tatizo la upungufu wa damu na kuvimba miguu. Alikaa Hospitali mpaka ilipofika tarehe 6/12/2024 alipohamishiwa Muhimbili. Akiwa kule Muhimbili iligundulika kuwa moyo wake umetanuka na Figo hazifanyi kazi vizuri.

Gharama za matibabu ya “Dialysis na ICU” zilifikia shilingi milioni 5. Baada ya marehemu kufariki ndugu hawakuruhusiwa kuchukua mwili kwa sharti mpaka wamelipa milion 5 deni la matibabu familia haikuwa na Ml5, SERA ya kumtoza deni Maiti niya kikatili naya fedheha Tunatoa wito kwa Serikali na hasa Rais Dkt Samia kama mama kuachana na sera hii."
Lipumba yupo kumbe!? Mbowe anaelekea huko pia.
 
Watawala wanatibiwa bure tena kwenye hospitali kubwa mlipa kodi anatibiwa kwenye clinic za hali ya chini kwa gharama kubwa
 
1000321037.jpg
 
WATAWALA WANATIBIWA BURE HOSP ZA GARAMA WANALIPWA MIPOSHO MIKUBWA NA SALARY NA HAWALIPI KODI.maskin watanzania tutanyonywa hadi lini na hao mashetani?ni mda wa kusema CCM BASI INATOSHA
 
Bongo kila kitu maigizo,ni futuhi ndio ni futuhi.

Userious wa wanasiasa wa bongo unaonekana pale ambapo madaraka yao yako hatarini hususani ujio wa katiba mpya na chadema imara.

Hapo hata kuua wanaua bila kusita.
Chadema imara au chadema futuhi
 
Gharama za matibabu ya “Dialysis na ICU” zilifikia shilingi milioni 5. Baada ya marehemu kufariki ndugu hawakuruhusiwa kuchukua mwili kwa sharti mpaka wamelipa milion 5 deni la matibabu familia haikuwa na Ml5, SERA ya kumtoza deni Maiti niya kikatili naya fedheha Tunatoa wito kwa Serikali na hasa Rais Dkt Samia kama mama kuachana na sera hii."
Sera mfu na uhuni kwa raia masikini
 
Sera ya serikali katika huduma ya Afya ni kuwa wanawake wajawazito watatibiwa bure ni kama danganya toto. Mfano wa kusikitisha ni wa marehemu Husna Saidi Abdallah aliyejifungua katika Hospitali ya Kivinje, Kilwa.

Afya yake ilianza kudhoofika Kwa tatizo la upungufu wa damu na kuvimba miguu. Alikaa Hospitali mpaka ilipofika tarehe 6/12/2024 alipohamishiwa Muhimbili. Akiwa kule Muhimbili iligundulika kuwa moyo wake umetanuka na Figo hazifanyi kazi vizuri.

Gharama za matibabu ya “Dialysis na ICU” zilifikia shilingi milioni 5. Baada ya marehemu kufariki ndugu hawakuruhusiwa kuchukua mwili kwa sharti mpaka wamelipa milion 5 deni la matibabu familia haikuwa na Ml5, SERA ya kumtoza deni Maiti niya kikatili naya fedheha Tunatoa wito kwa Serikali na hasa Rais Dkt Samia kama mama kuachana na sera hii."
Hii sera iliwekwa maalum kuzuga tu mashirika ya fedha ya nje ya kimataifa kutoa fedha za ufadhili na mikopo pesa zilipotolewa zikabadilishiwa matumizi zikapigwa na wajanja
 
Sera ya serikali katika huduma ya Afya ni kuwa wanawake wajawazito watatibiwa bure ni kama danganya toto. Mfano wa kusikitisha ni wa marehemu Husna Saidi Abdallah aliyejifungua katika Hospitali ya Kivinje, Kilwa.

Afya yake ilianza kudhoofika Kwa tatizo la upungufu wa damu na kuvimba miguu. Alikaa Hospitali mpaka ilipofika tarehe 6/12/2024 alipohamishiwa Muhimbili. Akiwa kule Muhimbili iligundulika kuwa moyo wake umetanuka na Figo hazifanyi kazi vizuri.

Gharama za matibabu ya “Dialysis na ICU” zilifikia shilingi milioni 5. Baada ya marehemu kufariki ndugu hawakuruhusiwa kuchukua mwili kwa sharti mpaka wamelipa milion 5 deni la matibabu familia haikuwa na Ml5, SERA ya kumtoza deni Maiti niya kikatili naya fedheha Tunatoa wito kwa Serikali na hasa Rais Dkt Samia kama mama kuachana na sera hii."
Yule bibi ni Tapeli! Ikifika 2030 tutakuwa nchi maskini ya kwanza Africa!
 

Attachments

  • IMG-20241230-WA0031.jpg
    IMG-20241230-WA0031.jpg
    144.8 KB · Views: 3
  • IMG-20241228-WA0029.jpg
    IMG-20241228-WA0029.jpg
    69.7 KB · Views: 2
  • IMG-20241223-WA0068.jpg
    IMG-20241223-WA0068.jpg
    156.9 KB · Views: 2
  • IMG-20241225-WA0041.jpg
    IMG-20241225-WA0041.jpg
    147.3 KB · Views: 2
Katika hili uwa siielewi serikali hata kidogo,hivi huwa hawaoni kuwa wanajidanganya wao wenyewe,majukwaani wanasema mjamzito ni bure hadi mtoto wa chini ya miaka mitano bure,ukienda sasa hospitali utaonja joto la moto kudadeki,,na mi nawashauri katika jambo ambalo serikali ya CCM ingeendelea kujizolea kura nyingi kihalali daima,ni kutoichezea sera ya afya kwa kuifanya kuwa ya bure kwa dhati kabisa,huwa sielewi ni nini kinashindikana katika hili,wakikomaa tu na kodi ya kwenye migodi wanatoboa sana tu.
 
Back
Top Bottom