Prof. Issa shivji ampa somo jaji joseph warioba, kuhusu mamlaka ya bunge maalumu la katiba.

Prof. Issa shivji ampa somo jaji joseph warioba, kuhusu mamlaka ya bunge maalumu la katiba.

Warioba hata serikali ilimshinda kuendesha alipokuwa waziri mkuu leo atakuwa na lipi jipya la maana.
 
Warioba katengeneza Rasimu inayoonesha kuwa nchi 3 (Zanzibar, Tanganyika & Muungano) zina hadhi sawa, sasa umewahi kuona wapi ndani ya nyumba baba, mama na watoto wana hadhi sawa na nyumba ikawa salama? Huyo ndio "jembe" unayemsifia?


Ni sahihi kuwa na chako changu wakati chako chako? Hapa ni serikali tatu au moja ndiyo jibu sahihi. Shivji anajaribu kutetea Zanzibar yake iendelee kunyonya TANGANYIKA yetu. tumesha amkaa!!!
 
Ni sahihi kuwa na chako changu wakati chako chako? Hapa ni serikali tatu au moja ndiyo jibu sahihi. Shivji anajaribu kutetea Zanzibar yake iendelee kunyonya TANGANYIKA yetu. tumesha amkaa!!!

Sema umeamka kwa mtazamo wako
 
Mkuu hapo umedondokea pua! If u read between lines prof amepangua hoja za warioba kwa hoja nzito. Isitoshe hoja za warioba kama alivyoeleza prof baadhi Hazina ushahidi wa kitaalamu. Lakini ukweli unabaki pale pale kwamba warioba hawezi kujigamba kwamba maoni ya watu laki 3 na ushee ndio ya watanzania zaidi 40 mil! This is ridiculous!

No data no right to speak, WARIOBA amezungumza bila data
 
Warioba hata serikali ilimshinda kuendesha alipokuwa waziri mkuu leo atakuwa na lipi jipya la maana.
Uko sahihi. After all, wakati akiwa waziri mkuu kasoro za muungano hakuziona? Alichukua hatua gani kudai serikali ya Tanganyika enzi hizo? Huyu Mzee alikuwemo kwenye lile kundi la Njelu Kasaka? Ni lini ameunga mkono hoja za mtikila za utanganyika? Tume imetumiwa kama uchochoro wa kupitishia hoja za watu waoga kwa kutumia kigezo cha maoni ya watanzania elfu arobaini!
 
Mwenendo wa Prof. Shivji umeonekana ukibadilikabadilika kama kinyonga. Alikwishasema mchakato wa katiba siyo halali! Sasa uhalali wa anachokipigia chapuo uko wapi? Kitu gani kimemfika Prof. Shivji? Atuambie!
 
Sijasomea sheria ila kwa uchambuzi wa prof umesimama , warioba anataka kunyima uhuru wa bunge la katiba , ni ngumu sana wajumbe wote wale wa bunge la katika wasione cha kupunguza au kuongeza. MM nadhani Bunge la katiba liwe na uhuru wa kuijadili kwa upana.

NB: muundo wa serikali 3 ndani ya taifa moja binafsi si ukubali kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Sijasomea sheria ila kwa uchambuzi wa prof umesimama , warioba anataka kunyima uhuru wa bunge la katiba , ni ngumu sana wajumbe wote wale wa bunge la katika wasione cha kupunguza au kuongeza. MM nadhani Bunge la katiba liwe na uhuru wa kuijadili kwa upana.

NB: muundo wa serikali 3 ndani ya taifa moja binafsi si ukubali kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Ila w Serikali2 zilizotokana na MUUNGANO wa NCHI HURU mbili unauafiki kwa kigezo kipi? Kumbuka neno NCHI HURU MBILI:Tanganyika +Zanzibar= Jamhuri ya Muungano ya Tanzania+ Zanzibar!!!!!!??????!!!!??? Hiyo ni halali? Kwa nini isiwe Tanganyika+ Zanzibar=1= Jamahuri ya Muungano wa Tanzania na au Tanganyika, Zanzibar na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania????!!!?. Tujitahidi kujiondoa ufahamu kwa makusudi! Hongera jembe Jaji Warioba!
 
kama ndio unadamka kutoka usingizini au umekumbwa na foleni ya magari huku hujui la kufanya ni vigumu kujua anachomaanisha Prof.
lets wait and see.
 
Kuelewa hoja za prof inahitaji weledi, Mzee kama uliishia la saba hutamuelewa profesa. We we unafaa kuchangia siredi za udaku na porojo za kijiweni sio za uchambuzi wa kisomi. After all sio lazima uchangie kila hoja!

Umenene mkuu
 
''Hii bana toka bombey nanunuliwa kabisa na akina sapan wa ccyem''
 
Warioba katengeneza Rasimu inayoonesha kuwa nchi 3 (Zanzibar, Tanganyika & Muungano) zina hadhi sawa, sasa umewahi kuona wapi ndani ya nyumba baba, mama na watoto wana hadhi sawa na nyumba ikawa salama? Huyo ndio "jembe" unayemsifia?

Mwalimu masikini we we ni masikini hata kwenye ubongo! Prof anafahamika hata nje ya tz kwa umahiri wake. We we kutomuelewa ukiwa darasani (kama kweli alikufundisha) haimuondelei unguli wake kitaaluma. Fanya uchambuzi, ibua hoja jibu kwa hoja!
kama shivji anampinga warioba kwa hili, hana jipya. hata kama anafahamika duniani kama prof, yeye ni mwanadamu si malaika anaweza kupotoka wakati mwingine, na katika hili, shivji hana lolote, if shivji had any value to add on this katiba, basi serikali ingemchagua hata kwenye tume ya warioba au hata bunge la katiba tu, waliona hana maana. akili nazo huwa zinazeeka, usiabudu watu hata pale wanapopotoka. kwa waliosikiliza hotuba ya warioba kama kuna mtu hajaelewa na bado anapingana naye, basi huyo mtu ni mbumbumbu kabisa kabisa na hatutakiwi hata kubishana na mtu kama huyo tutakuwa tunapoteza muda
 
akili nazo huwa zinazeeka wakati mwingine, shivji wa leo si yule wa miaka ile tuliyosoma pale faculty of law. akili za warioba ndizo hazijazeeka kabisa.
 
kama shivji anampinga warioba kwa hili, hana jipya. hata kama anafahamika duniani kama prof, yeye ni mwanadamu si malaika anaweza kupotoka wakati mwingine, na katika hili, shivji hana lolote, if shivji had any value to add on this katiba, basi serikali ingemchagua hata kwenye tume ya warioba au hata bunge la katiba tu, waliona hana maana. akili nazo huwa zinazeeka, usiabudu watu hata pale wanapopotoka. kwa waliosikiliza hotuba ya warioba kama kuna mtu hajaelewa na bado anapingana naye, basi huyo mtu ni mbumbumbu kabisa kabisa na hatutakiwi hata kubishana na mtu kama huyo tutakuwa tunapoteza muda
Bado kazi IPO. Kwa ufahamu wako nisaidie aliyejenga hoja zake kwa kutumia refence mbali mbali kusupport kile anachokiamini na yule aliyetoa hoja kibubusa nani kazeeka kwenye ubongo? Wasomi tunaelewa kwamba no research no right to say. Warioba hakutaka kuishuhulisha akili yake badala yake alijikita kwenye kile alichokiamini yeye.
 
kama shivji anampinga warioba kwa hili, hana jipya. hata kama anafahamika duniani kama prof, yeye ni mwanadamu si malaika anaweza kupotoka wakati mwingine, na katika hili, shivji hana lolote, if shivji had any value to add on this katiba, basi serikali ingemchagua hata kwenye tume ya warioba au hata bunge la katiba tu, waliona hana maana. akili nazo huwa zinazeeka, usiabudu watu hata pale wanapopotoka. kwa waliosikiliza hotuba ya warioba kama kuna mtu hajaelewa na bado anapingana naye, basi huyo mtu ni mbumbumbu kabisa kabisa na hatutakiwi hata kubishana na mtu kama huyo tutakuwa tunapoteza muda
Bado kazi IPO. Kwa ufahamu wako nisaidie aliyejenga hoja zake kwa kutumia refence mbali mbali kusupport kile anachokiamini na yule aliyetoa hoja kibubusa nani kazeeka kwenye ubongo? Wasomi tunaelewa kwamba no research no right to say. Warioba hakutaka kuishuhulisha akili yake badala yake alijikita kwenye kile alichokiamini yeye. Kwa mtazamo wako anayeweza kupotoka ni prof shivji tu!!!!
 
kama shivji anampinga warioba kwa hili, hana jipya. hata kama anafahamika duniani kama prof, yeye ni mwanadamu si malaika anaweza kupotoka wakati mwingine, na katika hili, shivji hana lolote, if shivji had any value to add on this katiba, basi serikali ingemchagua hata kwenye tume ya warioba au hata bunge la katiba tu, waliona hana maana. akili nazo huwa zinazeeka, usiabudu watu hata pale wanapopotoka. kwa waliosikiliza hotuba ya warioba kama kuna mtu hajaelewa na bado anapingana naye, basi huyo mtu ni mbumbumbu kabisa kabisa na hatutakiwi hata kubishana na mtu kama huyo tutakuwa tunapoteza muda
Bado kazi IPO. Kwa ufahamu wako nisaidie aliyejenga hoja zake kwa kutumia refence mbali mbali kusupport kile anachokiamini na yule aliyetoa hoja kibubusa nani kazeeka kwenye ubongo? Wasomi tunaelewa kwamba no research no right to say. Warioba hakutaka kuishuhulisha akili yake badala yake alijikita kwenye kile alichokiamini yeye. Kwa mtazamo wako anayeweza kupotoka ni prof shivji tu!!!!
 
Back
Top Bottom