Prof Issa Shivji: The Dialectics of Maguphilia and Maguphobia

Prof Issa Shivji: The Dialectics of Maguphilia and Maguphobia

rather ameona hiyo sio kazi ya msomi wa level yake.
Sikubaliani naye maana lazima useme kwanini unamuogopa/unampenda, msomaji ataopenda kujua hayo. kama katika story yako hujafanya hiyo, basi hakuna kitu cha maana. msomaji atakuwa na hamu kujua phobia/philia vinaletwa na nini!
 
Sikubaliani naye maana lazima useme kwanini unamuogopa/unampenda, msomaji ataopenda kujua hayo. kama katika story yako hujafanya hiyo, basi hakuna kitu cha maana. msomaji atakuwa na hamu kujua phobia/philia vinaletwa na nini!
Kazi hiyo amewaachia mataahira
 
I had to read the whole article. Prof aweke kwa kiswahili pia ili "wanyonge" pia wasome andiko lake.
Kwa harakaharaka nimenote vitu vifuatavyo ingawa vingine nimeweka maneno yangu baada ya kuvilewa kwa uelewa wangu.

1. Nyerere alikuwa kiongozi mzuri licha ya mapungufu yake na ameyaweka bayana.

2. Mwinyi aliharibu maono na ndoto za Nyerere hasa mawazo yake katika uzalendo na uchumi.

3. Rushwa imenawiri kipindi cha Mwinyi.

4. CCM ni chama cha wala na watoa rushwa hasa ktk chaguzi.

5. Kikwete na Lowasa waliingia ktk uongozi kwa uzandiki, makundi na rushwa ndani ya CCM.

6. Kikwete's regime ilishindwa kusimamia law and order.

7. Magufuli alitumia uingozi wa kujiona massiah hasa katika ku fix makosa ya mtangulizi wake wa urais.

8. Magufuli alikuwa na nia ya kujenga uchumi kwa sera ya viwanda lakini alikuwa hajui njia nzuri au mbishi katika kufanikisha nia yake.

9. Alichukia upinzani hasa Lowasa alipohamia huko mtu aliyekuwa mpinzani wake ndani ya chama, hivyo akapanga au kuzidisha chuki kwa upinzani.

10. Magufuli lipitisha sheria kandamizi nyingi na kuwa na upendeleo kwa manufaa yake au ya uongozi wake.

11. Magufuli alipambana na rushwa, kujenga miundombinu, alivunja mikataba ya kimataifa na kukamata watu na kuwatoa baada ya kukubali kulipa kiasi fulani Cha pesa.

12. Magufuli ali badilisha maana ya uzalendo kuwa ni utiifu kwa rais.


13. Uongozi uliopo umejiachia sana kwa mashirika ya kimataifa wakati uliopita haukuwa na hakukitana nao mara kwa mara. Prof anaonya juu hatari hii ya awamu ya sita hasa ktk uchumi.

Je utakuwa ni mpenda Magu au muogopa Magu?
 
Shivji ameshindwa/ameacha makusudi kusema Tanzania wa a failed state under Magufuli's tyranny

A failed state is composed of feeble and flawed institutions. Often: The executive barely functions, the legislature, judiciary, bureaucracy, and armed forces have lost their capacity and professional independence.
Nimeinyaka hii
 
Back
Top Bottom