Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
Kwa mujibu wa DjChoka kupitia ukurasa wake wa instagram ni kuwa mama yake msanii nguli Prof Jay amefariki usiku huu hospitali ya Tumbi baada ya ajali ya gari Mbezi Mwisho.
.I.P mama Joseph Haule.
.I.P mama Joseph Haule.