CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
Nakumbuka nilimuona huyu mama akiwa na prof Jay kwenye kipindi cha Bongo Beats kama mwezi na nusu uliopita. Alikuwa mchangamfu sana.
Najua inauma sana kwa prof. Jay,kama ambavyo yeyote angeumia.
May her soul R.I.P
Poleni Prof Jay na Z-Anto kwa kufiwa na mama yenu.
Huyu jamaa yupo kipindi kigumu sana sana anatuitaji.
Mungu ampe faraja,nguvu na tumaini kutoka mbinguni..