figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Mwaka 2006 ndio ilitoka album ya tatu ya Prof Jay ambayo inafahamika kwa jina la J.O.S.E.P.H. Lakini J.O.S.E.P.H ni wimbo ambao uliweza kulichaguliwa kuwa wimbo bora wa Bongo Fleva/Hiphop BBC na Radio One Awards
Ila JOSEPH ni jina lake ambalo aliamua kuleta ubunifu ili aweze kufikisha ujumbe stahiki kwa jamii ya wapenda muziki.
Maana ya JOSEPH kwa jinsi yake alivyochambua ilikuwa ni J ilisimama kama JIFUNZE, O imesimama kama ONA, S ikasimama kama SEMA, E ikasimama kama ELIMIKA,🙂P ikasimama kama PITIA na H ikasimama kama HAMASIKA.
Ubunifu kama huu umekosekana katika muziki wetu, bali watangazaji wamekuwa wakisifu zaid mahusiano ya fulani na fulani, kusenngenya na mengine ambayo kimsimgi hayajengi muziki wala kuelimisha jamii!!
Licha ya watu kuburudika ila muziki ni moja kati ya njia chache za kuelimishana.
NI vyema wadau na watangazaji wazingatie hilo.
Team tizneez tunatambua na kuheshimu mchango wa Prof Jay katika muziki wa kizazi kipya!!
Ila JOSEPH ni jina lake ambalo aliamua kuleta ubunifu ili aweze kufikisha ujumbe stahiki kwa jamii ya wapenda muziki.
Maana ya JOSEPH kwa jinsi yake alivyochambua ilikuwa ni J ilisimama kama JIFUNZE, O imesimama kama ONA, S ikasimama kama SEMA, E ikasimama kama ELIMIKA,🙂P ikasimama kama PITIA na H ikasimama kama HAMASIKA.
Ubunifu kama huu umekosekana katika muziki wetu, bali watangazaji wamekuwa wakisifu zaid mahusiano ya fulani na fulani, kusenngenya na mengine ambayo kimsimgi hayajengi muziki wala kuelimisha jamii!!
Licha ya watu kuburudika ila muziki ni moja kati ya njia chache za kuelimishana.
NI vyema wadau na watangazaji wazingatie hilo.
Team tizneez tunatambua na kuheshimu mchango wa Prof Jay katika muziki wa kizazi kipya!!