BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Mwenzako ndo jiniaz wa tiba Tanzania yoteTunapaswa kumuonyesha Raisi Samia kwamba haturidhishwi na mfumo wa huduma za Afya Tanzania, na ikiwemo Hospitali kuu ya Muhimbili unayo simamiwa na huyo anaye pigiwa upatu.
Nchi ina mifumo mibovu sana ya Afya, tuwe serious hapa.
Huduma za Hospitali ya Muhimbili sio nzuri na zinalalamikiwa sana na wadau wengi wanao enda kutibiwa kule.
Sasa kama Muhimbili kashindwa vipi huko WHO? Janabi anapaswa kutuonyesha alivyo fanikiwa Muhimbili kwanza kabla ya huko.
Tunapaswa kuwaonyesha jambo, na sio kuwa mazezeta kwa kila jambo na kuburuzwa tu.
Ndugulile aliomba kazi WHO mwenyewe na baadaye akaanza kuomba viongozi wamuunge mkono, Hakupendekezwa na Samia, hebu angalia hiyo Tofauti.Kwani Ndugulile alifanikiwa kitu gani
Madudu yake yaanze kuanikwa hapa mpaka atakimbia nchiTunapaswa kumuonyesha Raisi Samia kwamba haturidhishwi na mfumo wa huduma za Afya Tanzania, na ikiwemo Hospitali kuu ya Muhimbili unayo simamiwa na huyo anaye pigiwa upatu.
Nchi ina mifumo mibovu sana ya Afya, tuwe serious hapa.
Huduma za Hospitali ya Muhimbili sio nzuri na zinalalamikiwa sana na wadau wengi wanao enda kutibiwa kule.
Sasa kama Muhimbili kashindwa vipi huko WHO? Janabi anapaswa kutuonyesha alivyo fanikiwa Muhimbili kwanza kabla ya huko.
Tunapaswa kuwaonyesha jambo, na sio kuwa mazezeta kwa kila jambo na kuburuzwa tu.
Ushaambiwa anaitwa janaba.Tunapaswa kumuonyesha Raisi Samia kwamba haturidhishwi na mfumo wa huduma za Afya Tanzania, na ikiwemo Hospitali kuu ya Muhimbili unayo simamiwa na huyo anaye pigiwa upatu.
Nchi ina mifumo mibovu sana ya Afya, tuwe serious hapa.
Huduma za Hospitali ya Muhimbili sio nzuri na zinalalamikiwa sana na wadau wengi wanao enda kutibiwa kule.
Sasa kama Muhimbili kashindwa vipi huko WHO? Janabi anapaswa kutuonyesha alivyo fanikiwa Muhimbili kwanza kabla ya huko.
Tunapaswa kuwaonyesha jambo, na sio kuwa mazezeta kwa kila jambo na kuburuzwa tu.