Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahhhahhahaha yaani JfYule dada ni wema
kwenye video ni Nargis Mohamed
miss Tanzania mwaka gani sijui
..
anafanya kazi sasa hivi
Mbona Huyo Mwanaume anafanana na scopion mtoboa machoShe gat a life....![]()
![]()
![]()
![]()
Ndo mwenyewe Scorpion mkuu.Mbona Huyo Mwanaume anafanana na scopion mtoboa macho
mdada aliyeshirikishwa anaitwa pauline zongo.. kama cjakosea
miss tz no 3,mwaka nimesahau Nàrgis MohammedSalaam!!.
Leo nikiwa natazama vipindi kwenye luninga, ulichezwa wimbo wa Prof. Jay, (Joseph Haule) ambaye kwasasa ni Mbunge wa Mikumi. Wimbo ule unaitwa ZALI LA MENTALI, Kiukweli nikakumbuka mbali sana, kwakuwa ni wimbo wa muda mrefu kidogo, lakini ukiusikiliza nakuuangalia bado una sound poa sana masikioni.
Kwa abaeufahamu wimbo ule ambao prof. Jay alimshirikisha Juma Nature, lakini pia kunasikika sauti ya mwanadada ambaye alikuwa akijibizana na Prof. Jay, kiukweli katika hali ya kawaida unaweza sema Yule dada anaongea tuu lakini uhalisia nikwamba Yule Dada pale alikuwa anaimba kwa staili yaku rap, naamini Yule Dada alikuwa nakipaji sana chakufanya mziki.
Mpaka Leo Yule Dada sijamfahamu alikuwa ninani, mana nafikiri alisikika tu kwenye ule wimbo. Mh. Mbunge Joseph Haule (Prof.Jay) kama Yule Dada bado yupo Mrudishe kwenye Mziki, muweke tena kwenye Ngoma alafu mpe afanye kipande kikubwa tofauti naile nafasi ndogo yakwenye Zali la Mentali.
View attachment 428946View attachment 428947
Baadhi ya picha katika wimbo huo wa Zali la Mentality. [emoji115][emoji115]
Munira mtoto wa forodhani...mtoto mkali alitingisha pale sanaAliyeimba si Pauline bali anaitwa muni au munira jina kamili alishaachana na mambo ya music
kweli mkuu huyo demu alikuwa anaitwa munira alikuwa demu wa p funk nilisoma naye forodhani secondary ingawa aliniacha madarasa 3 alikuwa mkali kinoma nnaanza form 1yeye yupo 4Aliyeimba ni Munira ,kwenye video ni Nargis Mohamed (yule wa Toyota Surf)
alikuwa na bwana wake kaka mkuu victor mango alikuwa miguu mizuri kinoma kipindi hicho kula mihogo ya njano south.Munira mtoto wa forodhani...mtoto mkali alitingisha pale sana