Prof. Jay: Sauti imebadilika nilitobolewa koo

Prof. Jay: Sauti imebadilika nilitobolewa koo

Shekeli muhimu sana.. Pale alisema alifanyiwa CPR karibia saa Zima.. kapuku gani kwa wakulungwa wetu wanakomaa hivo
 
Duuuh! jambo la kumshukuru Mungu na serikali.
 
Walitaka privacy, imekuaje tena ma detail yote haya?

Mambo ya kuiga wazungu ambayo huyawezi...
 
Back
Top Bottom