Prof. Jonathan: Rais wa Ukraine katenda makosa ya jinai dhidi ya binadamu

Prof. Jonathan: Rais wa Ukraine katenda makosa ya jinai dhidi ya binadamu

Kwa Ukraine Raia Ni soldiers sio shield. Shield Ni pale wanajeshi wa Ukraine watawaweka raia katika makundi ili kuzuia Urusi isiwashambulie. Lakini kwa Ukraine Raia wanapigana na Urusi kwa kubeba mitutu yao. Wale wasioweza wamekimbia Kama wakimbizi.

Ndio maana nakwambia una tatizo la kutoelewa, hapo ulipo hata hujui kama raia walikuwa wakijificha ktk kivuli cha kiraia. Jeshi gani linavaa nguo za kiraia kama sio kitendo cha woga wa mapambano na kujificha ktk sura ya raia?

images (1).jpeg
images.jpeg


Mbona hao raia walipouawa hawakuhesabiwa kama wanajeshi waliouawa vitani ila wanahesabika ati raia wa kawaida walouawa na majeshi ya Russia?

Sasa hapa chini huyo rais Masanja Mwigizaji analialia nini kama raia walipewa risasi kama jeshi la nchi na wakauawa kama wanajeshi kwenye vita? Kama sio kuwatumia kama kinga.

Embu uwe unashughulisha bongo yako Mkuu

 
Kw

Kwa akili hizi ndio maana wazungu waliitawala Africa. Yani alitaka Urusi apewe nchi kwenye sahani bure. Kwa akili hizi ndio maana Zimbabwe ilikifa kiuchumi.
Hakuna mzigo mkubwa kama kuwa mjinga wa kutambua sheria na kanuni za kimataifa za vita zinazotaka raia asitumike vitani kama ngao za wanajeshi.

SmartSelect_20220228-112435_Chrome.jpg
 
Huyu ni profesa uchwara, yeye anategemea nini nchi iliyotulia na uhuru wake linakuja dola lenye nguvu duniani kuivamia mchana kweupe?
Wewe mwenye mwerevu umeshindwa jua hata haki za raia vitani na sheria za kimataifa ktk kuzuia raia kutotumiwa kama ngao.

SmartSelect_20220228-112435_Chrome.jpg
 
kitaalamu kichwa chako kinapaswa kijulikane kama "tabula rasa ". Mashambulizi yanafanywa kulenga raia kwa makusudi afu unakuja na hoja za international law, kwanza hata una akili ya kuielewa !
Hapo ulipo wategemea msaada wangu nikutafutie habari za kiingereza na nikufsirie kisha ndio utumie ujuha wako wa Standard VI B kutoa majibu dhaifu na ya kijinga
 
Hapo ulipo wategemea msaada wangu nikutafutie habari za kiingereza na nikufsirie kisha ndio utumie ujuha wako wa Standard VI B kutoa majibu dhaifu na ya kijinga
We kiazi mbatata sana, kichwa kimejaa kamasi unajiona mtaalam wa sheria, kenge maji kabisa.
 
Hilo ni jambo la kawaida sana katika nchi yo yote inapokuwa katika vita! Kila raia ni mlinzi wa Taifa lake.
Hapa kwetu enzi za Mwalimu wakati tunapigana na NDULI Idd Amini wa Uganda watu wenye afya nzuri walikuwa wanakusanywa huko vijijini na kupewa mafunzo ya muda mfupi harafu wanapelekwa mstari wa mbele kupambana na NDULI AMIN.
 
Hapana mkuu, alichokifanya huyo president ni makosa makubwa
Korea kusini raia wote wanaume ni wanajeshi. Ikitokea vita utasema kuwa S. Korea anavunja international law? Wanaume na raia wote Wana haki ya kulinda nchi yao, sio lazima wapigane, watasaidia kama wapishi n k
 
Professor uchwara alitaka wananchi wasipiganie nchi yao, vp huyo Professor anasemaje kuhusu rais mwenyewe kuingia vitani?!
 
Binafsi napenda hoja mbadala kama hizi...Asante Profesa kwa kutufungua upande wa pili wa shilingi
 
Back
Top Bottom