Prof. Kabudi adai kwa USA na UK kukwepa kodi ni kosa kubwa kuliko kuua. Je, ni kweli?

mleta mada anahoji adhabu ya kuua na kukwepa kulipa kodi ni SAWA?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakuwa alitaka tu kuogopesha watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa ni muongo mkubwa sana huyu. Anapenda kuropoka ropoka bila kutilia maanani ukweli husika.

 
Nyie lumumba njooni msome hapa na mtuambie kama hukumu ya kuua na kukwepa kodi huko USA zinafanana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…