Prof. Kabudi adai kwa USA na UK kukwepa kodi ni kosa kubwa kuliko kuua. Je, ni kweli?

Prof. Kabudi adai kwa USA na UK kukwepa kodi ni kosa kubwa kuliko kuua. Je, ni kweli?

mleta mada anahoji adhabu ya kuua na kukwepa kulipa kodi ni SAWA?
Nchi nyingi za Ulaya kukwepa kodi ni msala, mfano mzuri ni Rwanda hakuna mfanya biashara mkubwa Rwanda anae ongopa kama kukwepa kodi... Mfanya biashara yoyote wa Rwanda hawadhubutu kufanya biashara za shortcut kesi yake ni kupigwa nyundo la miaka jela na mali zako na biashara zako zote zinataifishwa na serikali.... Tanzania unaweza kufikia stage ya ubilioner bila kulipa kodi.....

Alicho kiongea Prof naungana nae, maendeleo hayana chama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..Prof.Kabudi amefundisha wanasheria wengi nchi hii, wakiwemo wabunge na majaji.

..sasa ametoa madai kwamba ktk nchi za Marekani na Uingereza, kukwepa kodi ni kosa kubwa kuliko kuua.

..pamoja na heshima kubwa niliyonayo kwa Prof.Kabudi napata taabu kukubaliana na kauli yake hiyo.

..Sijui Prof. alikuwa na nia gani kutoa madai hayo kwamba kukwepa kodi ni kosa kubwa kuliko kuua.

Atakuwa alitaka tu kuogopesha watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa ni muongo mkubwa sana huyu. Anapenda kuropoka ropoka bila kutilia maanani ukweli husika.

..Prof.Kabudi amefundisha wanasheria wengi nchi hii, wakiwemo wabunge na majaji.

..sasa ametoa madai kwamba ktk nchi za Marekani na Uingereza, kukwepa kodi ni kosa kubwa kuliko kuua.

..pamoja na heshima kubwa niliyonayo kwa Prof.Kabudi napata taabu kukubaliana na kauli yake hiyo.

..Sijui Prof. alikuwa na nia gani kutoa madai hayo kwamba kukwepa kodi ni kosa kubwa kuliko kuua.

 
Nyie lumumba njooni msome hapa na mtuambie kama hukumu ya kuua na kukwepa kodi huko USA zinafanana?
Mwezi ulio pita mwanasharia wa Trump kipindi cha kampaini alibainika alikua anafanya kazi ya kutowa ushauri kwa serikali ya Ukuraini naalikua analipwa $300'000 kwa miaka miwili FBI ulibaini kwa kutowa ushahidi wakutosha kwamba jama alikuepa kulipa kodi kwenye federal government zaid ya $1m jama alikili na Mahakama elimuhukumu kufungwa miaka 3 jela ila aliomba aanze hukumu yake mwezi wa nane mwaka hu.....wewe jaribu kuua kama utafungwa miaka mitatu.....mstulishe matango pori
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom