johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Waziri wa mambo ya nje Prof. Kabudi amehudhuria hafla ya uzinduzi wa ripoti ya Building Bridge Initiatives (BBI) nchini Kenya ambayo imehudhuriwa na viongozi wote wakuu wa Jamhuri ya Kenya.
Miongoni mwa mapendekezo ya BBI ni haya:
1. Uwepo wa cheo cha Waziri mkuu ambaye ni lazima awe Mbunge wa kuchaguliwa na atalipwa mshahara wa mbunge
2. Uwepo wa Baraza la Mawaziri ambao watatokana na wabunge na watalipwa mshahara wa mbunge.
3. Uwepo wa Kiongozi wa Upinzani Bungeni (KUB) ambaye atakuwa ni yule aliyegombea urais na kuwa wa pili, ataingia bungeni kama mbunge na ataunda baraza la mawaziri kivuli
4. Watumishi wa umma hawataruhusiwa kufanya biashara na serikali.
Na mengine mengi.
Chanzo: Citizen Tv
Zaidi Tazama hapa:
Pia soma
www.jamiiforums.com
Miongoni mwa mapendekezo ya BBI ni haya:
1. Uwepo wa cheo cha Waziri mkuu ambaye ni lazima awe Mbunge wa kuchaguliwa na atalipwa mshahara wa mbunge
2. Uwepo wa Baraza la Mawaziri ambao watatokana na wabunge na watalipwa mshahara wa mbunge.
3. Uwepo wa Kiongozi wa Upinzani Bungeni (KUB) ambaye atakuwa ni yule aliyegombea urais na kuwa wa pili, ataingia bungeni kama mbunge na ataunda baraza la mawaziri kivuli
4. Watumishi wa umma hawataruhusiwa kufanya biashara na serikali.
Na mengine mengi.
Chanzo: Citizen Tv
Zaidi Tazama hapa:
Pia soma
Je, Tanzania inahitaji BBI kama Kenya?
Na Malisa GJ, Leo Kenya imezindua ripoti ya BBI, ambayo ni kifupi cha maneno Building Bridge Initiatives, yani jitihada za kujenga daraja la maridhiano ya kitaifa. Ripoti hiyo imezinduliwa katika ukumbi wa BOMAS jijini Nairobi na kuhudhuriwa na zaidi ya watu 5000, huku mamilioni wengine...