MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Hehehe ila huyu jamaa huwa napenda kumfuatlia, siku mtampa urais ndio nitaanza kuwaskliza nyie watu maana ni kichwa sana.
Tatizo amenyang'anywa ndege akiangalia tu, alikuwa akionywa kuhusu mkulima lakini anapuuza.
Na pia akirudi kwao awafundishe CCM kuzingatia haya haya ameyasema na kutuasa, maana nyumbani kwao huko Tanzania CCM imeharibu nchi ikavurugika, hamna demokrasia wameendekeza full ubaguzi.
Tatizo amenyang'anywa ndege akiangalia tu, alikuwa akionywa kuhusu mkulima lakini anapuuza.
Na pia akirudi kwao awafundishe CCM kuzingatia haya haya ameyasema na kutuasa, maana nyumbani kwao huko Tanzania CCM imeharibu nchi ikavurugika, hamna demokrasia wameendekeza full ubaguzi.