Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Hivi ni kwa nini mnamchukia sana P.Kabudi? Kwanza Wizara yake haina uhusiano wowote wa moja kwa moja na Upinzani sasa hii chuki inatokea wapi kwake? I mean mnamchukia Kabudi klk Waziri wa mambo ya ndani anakataza mikutano yenu, kwa nini? Kawakosea nini? Au ni Wivu tuu?
Yeye ni sehemu muhimu ya udhalimu unaoendeshwa na jiwe hapa nchni. Isitoshe yeye ni mfano halisi wa viongozi wanafiki ndani ya awamu hii. Hao wakenya wanatujua ndani nje na wanajua sisi watanzania ni wanafiki, makondoo na ni maiti hai. Simply Kabudi kwao ilikuwa ni kinyaa.