Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
BBI haikua juu ya ukabila bali juu ya demokrasia yenye inclusion ya kila.mtu
Simwelewagi kabudi lakini speech yake ilikuwa nzuri kwa kiasi fulani..tuache kuwa negative sana
Kuhusu demokrasia nadhani hakupaswa kuingia huko maana hata sisi TZ tuna hali mbaya..ila kuhusu Tribalism kaongea vizuri tu