Prof. Kabudi apologise or resign for embarrassing the president and the country

Watu wanaoharibu kama hao alafu wananchi tukamind,rais ndo huwaachaga..kama bashite nw kabudi....ndo tua che kuwalaumu kina muhongo hii ngoma tight
kina muhongo wanachekelea mashavuni jinsi kabudi anavyochezeshwa drafti
 
kina muhongo wanachekelea mashavuni jinsi kabudi anavyochezeshwa drafti
Amewekwa kichwa zaidi ya Muhongo kusimamia madini. Maana alishasema huwa hachagui kilaza.
 
Awamu ya tano wamepigwa TKO, Technical knockout ,alikuwa analaumu mikataba ya awamu zilizopita,sasa wajanja "wamevunja Nazi" ndani ya ikulu
Yale mazungu ni majanja,Yanacheza mchezo kwa makini sana yanajua ni wapi pa kufungia goli
 
Maneno meeengi; kiingereza kibovu; hoja hafifu; halafu unadirikikutoa madai kumtaka Prof. Kabudi ajiuzulu kwa kuwaAcacia wamesema wanatatizo la illiquidity? Lakini hakuna hata kwenye hizo press releases ambapo serikali wala BG waliahidi muamala husika kufanyika ndani ya timeframe fulani. Parotic argumentation could still be avoided if one tried to be intelligent.
 
Hizi Habari zimetoka wapi ? au gazeti gani au television gani ?
mtaanzisha vitu havina maana yoyote
 
Jerry Muro ameisikia hii?... Awamu ya wakurupukaji hii..
 
Hizi Habari zimetoka wapi ? au gazeti gani au television gani ?
mtaanzisha vitu havina maana yoyote
Tunajadili taarifa isiyokuwa na maana iliyotolewa kwa watanzania. Ndiyo maana hata hoja zetu hazina maana
 
Mabepari wa dunia usicheze nao. Profesa Kabudi mifumo ya kibepari hii wapi kaijua? Huu uprof wa kufundisha darasani hauwezi kufua dafu kwa maninja wa kibepari.
Ile bodi yao tu ni tishio tosha.Ni majitu hasa ya Dunia hii.Any way tusijidharau kwa udogo wetu tunyukane hivyohivyo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…