Prof. Kabudi apologise or resign for embarrassing the president and the country

Prof. Kabudi apologise or resign for embarrassing the president and the country

Acacia has said they have not yet received the formal agreement reached,im pretty sure that upon receiving such agreement formally,they will comply.
It's just a status quo,they can not comply to things heard through the media.
 
80 days in a secluded place! With nothing in hand ! Nothing
 
Labda nchi ya chadema, lkn JMTZ tuko pamoja na Waziri wetu, hutaki hama nchi yetu!
Mshaumbuka na sasa mmechutama, jipangeni bhabha kujitia kujua sana mbele ni Giza totolo, ati hamjaribiwi, iyo mikwala tupigeni sisi raia wema ila mjue baada ya Mungu night mzugu na si wa sports sports. Thaman ya tulichodai ilikuwa Sawa na gari aina ya Noah kwa kila mtanzania leo tunashereke billion 600, yani 16,500.00 kwa kila mTZ?? Hii ni kukwama asubuhi tu...

Kifupi wazungu washasema hawatalipa na wamesemea hadharani na Kila mtu na kasikia nawe kama hutaki meza wembe ukajifie tu.
 
Mkutano na waandishi wa habari wa Muro lini? akiunga mkono. Kwa maoni yangu ilikuwa bado mazungumzo yangeendelea angalau mwaka
 
Maneno meeengi; kiingereza kibovu; hoja hafifu; halafu unadirikikutoa madai kumtaka Prof. Kabudi ajiuzulu kwa kuwaAcacia wamesema wanatatizo la illiquidity? Lakini hakuna hata kwenye hizo press releases ambapo serikali wala BG waliahidi muamala husika kufanyika ndani ya timeframe fulani. Parotic argumentation could still be avoided if one tried to be intelligent.
Nawe ungejibu kwa kithungu kuonyesha umahiri wako otherwise ni kusaka sifa za kijinga
 
Binafsi,naona kama nchi tumepiga hatua Fulani,mfano,serikali kuamua kufanya uchunguzi Na kubaini ilichoona kisha kukiweka hadharani Na RAIA kuona kuwa yaliyolalamikiwa mda mrefu,kwangu ni hatua mojawapo. Kuamua kujadili sehemu ya mikataba ni hatua nyingine , ubora /udhaifu Wa uchunguzi Na ubora /udhaifu Wa majadiliano ni jambo jingine. Twawezajifunza kwa makosa kama tukiamua kuwa weredi Na kuliendeleza taifa letu. Kushabikia hasara ama kushabikia mafanikio hewa hakutatusaidia kama taifa kwani maendelea ama uduni wowote ndiyo inaonekana kama nembo yetu,Na siyo malumbano. Tujengeni taifa .
 
Prof Masikini kingine mnajua km kipara hajui kimombo hii nayo ni shida kubwa
 
Nawaza tu, kama haya yalijulikana kwamba subject to approval kule juu sasa kulikuwa na haja gani ya kupiga mayowe? why tusingesubiri approval au la? hivi sasa tumeleta taharuki kadhaa kwa wenye kuwazia Noah nk.
Kuna mjanja mmoja alienda mbali zaidi na kusema kwamba ilibidi kucheza huo mchezo wa kuigiza ili kuzima gumzo la picha za simba wa Nairobi. Gallery yake ililuwa imejaa picha za yule simba tu. Kila MTU aliyemteua alikuwa anataka awe wa kwanza kumtumia boss. Unaweza kupima alitumiwa picha ngapi
 
Binafsi,naona kama nchi tumepiga hatua Fulani,mfano,serikali kuamua kufanya uchunguzi Na kubaini ilichoona kisha kukiweka hadharani Na RAIA kuona kuwa yaliyolalamikiwa mda mrefu,kwangu ni hatua mojawapo. Kuamua kujadili sehemu ya mikataba ni hatua nyingine
Kamati za prof Ossolo na prof Mruma siyo za kwanza mkuu. Kamati nyingi sana zilishaundwa huko nyuma na kufanya yote haya. Kumbuka kwa mujibu wa Mhe Lisu, prof Mruma alinakiri mambo kibao kutoka kqmati za zamani
 
Serikali ina mkataba na Barrick na ndio maana haijaongea na Acacia na ndio maana tulioingia nao mkataba wakaja, kwenye ile kamati inatoka Barrick na haitoki Acacia na pia Serikali inaweza kuwachukulia hatua Acacia , kwani wao hawakushiriki kwenye makubaliano sasa wanawezaje kusema hawalipi nani amewaambia wao ndio wanadaiwa
Mmh! Mkuu wewe sasa unazua maswali mengi mno. Kqmati zilizoundwa zimeitaja Acacia Mara 1000. Sasa mmh! Acha nisiyaulize maswali haya.
 
Duh! Tatizo nchi hii kila mtu anajifanya anajua, labda kwa sababu ya uhuru wetu wa kujieleza
 
Kamati za prof Ossolo na prof Mruma siyo za kwanza mkuu. Kamati nyingi sana zilishaundwa huko nyuma na kufanya yote haya. Kumbuka kwa mujibu wa Mhe Lisu, prof Mruma alinakiri mambo kibao kutoka kqmati za zamani
Barrick atalipa hizo. Ni Barrick imesema ni Barrick italipa. Ajiuzulu kwa lipi sijui.
 
Mfano , Chukulia una share CRDB chini ya asilimia 50 ....ujue wewe ni Minority ....Na mwenye 51 ndo mwenye Majority...hivyo Mwenye Mamuzi ya kampuni ni yule Mwenye Majority vote.....sasa ACACIA wana 30+ na BARIK 60+ hivyo mwenye Mamuzi ni BARICK
 
Back
Top Bottom