Masanjaone
JF-Expert Member
- Nov 15, 2019
- 844
- 597
Ona zanziba hawadirishi muislam na mkristo? Au sisi bara ndo gari la kampuni na znzb ni gari la bosi?Ni zamu ya muislam kiutaratibu tena toka zanzibar
Paschal, unasema Kabudi anakabiliwa na vitu fulani, ila kwangu mim namwona kama mwoga kwenye maamuzi na mtu asiyetaka lawama,,hili kwa taasis hii si zuri maana lazima uwe na maauzi la sivyo watakuamulia wengine na utaumiza watu,Naunga mkono hoja ya political speculation ya mtu yoyote kuweza kuwa rais wa Tanzania, japo trends za urais kwa mujibu wa silent rules za CCM zinaelekeza rais ajae anapaswa kuwa Muislamu kwa mujibu wa kanuni ya siri ya urais ni kupokezana kati ya Mkristo na Muislamu.
Kwa vile rais wa sasa ni Mkristo, then rais ajae ni lazima awe Muislamu. Hivyo silent movement ya kuwajeruhi every likely candidates ambao ni Waislamu imeanza, ilianza kwa Prof Mbarawa
Prof. Mbarawa ni Presidential material! Tuwaspot na kuwagroom Presidential materials au tumwache tu yeyote awe?
Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huwa na swali, na hoja, halafu jibu tulitoa wewe mwenyewe. Moja ya matatizo makubwa ya nchi yetu ni kutokuwa na kitu kinachoitwa succession plan kwenye urais wa nchini, hivyo mwaka wa uchaguzi ukifika, kila mtu...www.jamiiforums.com
Kufuatia huyu kuwa likely candidate, karata zimeisha changwa kumtoa kwenye wizara ambayo ata ngara na kumuweka wizara ya kifo ambayo ni sawa na kumtupia tuu kamba wakimsubiri ajinyonge
Akaja January Makamba,
January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President
Watch Clouds 360 Degrees Live , January Makamba yuko Live. January Makamba, akiongea, anaonekana yuko very intelligent upstairs kwa sababu anaonyesha ana think kabla ya kuongea. Kuna baadhi ya viongozi wetu, I doubts kama wana think kabla hawajaongea ndio maana kiwango cha upayukaji kwa awamu...www.jamiiforums.com
Walimtafutia visa kwenye mazingira, wakakosa, jamaa akaja kujikwaa kwenye kumsaidia baba yake kwenye ile voice note, jamaa pale pale akala kichwa!.
Sasa threth ni Jafo, Dr. Mwinyi na Dr. Kigwa, naona Kigwa gazeti la Jamhuri limeisha anza kumpumulia!. Jafo na Dr. Mwinyi bado hawajapata pa kuwashikia.
Licha ya hii kanuni ya kupokezana kwa dini, kuna baadhi ya watu ni wazuri kumpokea Magufuli ila sio Waislamu mmoja wapo ni huyu
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
Wanabodi, Kabla Magufuli hajawa rais wetu, sisi wengine wenu tulijua tangu mwaka 2014 na tukasema humu!.Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli Miongoni mwa sifa zilizomuibua Magufuli ni sifa inayoitwa "uthubutu" boldness and sometimes unreasonably boldness...www.jamiiforums.com
Hivyo kumtaja Prof. Kabudi naye kuwa likely sio mbaya, ila Kabudi hawezi kuwa rais wa nchi hii kwasababu anakabiliwa na changamoto fulani hivi ziwezi kuitaja maana nitanyooshewa vidole vya ....
P
Hii hoja ya tanganyika na zanzibar kwa kipindi hiki nafikiri haisaidii sana,watu wanaweza kuleta sababu za kulinda muungano lakini sioni kama ina mantiki kwa sasa,Ni zamu ya muislam kiutaratibu tena toka zanzibar
Makonda baada 2020 ataslimu na kuwa muislam ili hiyo ndote yako iwe kweli.Naunga mkono hoja ya political speculation ya mtu yoyote kuweza kuwa rais wa Tanzania, japo trends za urais kwa mujibu wa silent rules za CCM zinaelekeza rais ajae anapaswa kuwa Muislamu kwa mujibu wa kanuni ya siri ya urais ni kupokezana kati ya Mkristo na Muislamu.
Kwa vile rais wa sasa ni Mkristo, then rais ajae ni lazima awe Muislamu. Hivyo silent movement ya kuwajeruhi every likely candidates ambao ni Waislamu imeanza, ilianza kwa Prof Mbarawa
Prof. Mbarawa ni Presidential material! Tuwaspot na kuwagroom Presidential materials au tumwache tu yeyote awe?
Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huwa na swali, na hoja, halafu jibu tulitoa wewe mwenyewe. Moja ya matatizo makubwa ya nchi yetu ni kutokuwa na kitu kinachoitwa succession plan kwenye urais wa nchini, hivyo mwaka wa uchaguzi ukifika, kila mtu...www.jamiiforums.com
Kufuatia huyu kuwa likely candidate, karata zimeisha changwa kumtoa kwenye wizara ambayo ata ngara na kumuweka wizara ya kifo ambayo ni sawa na kumtupia tuu kamba wakimsubiri ajinyonge
Akaja January Makamba,
January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President
Watch Clouds 360 Degrees Live , January Makamba yuko Live. January Makamba, akiongea, anaonekana yuko very intelligent upstairs kwa sababu anaonyesha ana think kabla ya kuongea. Kuna baadhi ya viongozi wetu, I doubts kama wana think kabla hawajaongea ndio maana kiwango cha upayukaji kwa awamu...www.jamiiforums.com
Walimtafutia visa kwenye mazingira, wakakosa, jamaa akaja kujikwaa kwenye kumsaidia baba yake kwenye ile voice note, jamaa pale pale akala kichwa!.
Sasa threth ni Jafo, Dr. Mwinyi na Dr. Kigwa, naona Kigwa gazeti la Jamhuri limeisha anza kumpumulia!. Jafo na Dr. Mwinyi bado hawajapata pa kuwashikia.
Licha ya hii kanuni ya kupokezana kwa dini, kuna baadhi ya watu ni wazuri kumpokea Magufuli ila sio Waislamu mmoja wapo ni huyu
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
Wanabodi, Kabla Magufuli hajawa rais wetu, sisi wengine wenu tulijua tangu mwaka 2014 na tukasema humu!.Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli Miongoni mwa sifa zilizomuibua Magufuli ni sifa inayoitwa "uthubutu" boldness and sometimes unreasonably boldness...www.jamiiforums.com
Hivyo kumtaja Prof. Kabudi naye kuwa likely sio mbaya, ila Kabudi hawezi kuwa rais wa nchi hii kwasababu anakabiliwa na changamoto fulani hivi ziwezi kuitaja maana nitanyooshewa vidole vya ....
P
Ewaa,swadakta , hapo sawa , wakimbiza kijiti wanaongezeka ndio uzuri wa chama chenu huuHakunaga limit number ya ubashiri
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
Wanabodi, Kabla Magufuli hajawa rais wetu, sisi wengine wenu tulijua tangu mwaka 2014 na tukasema humu!.Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli Miongoni mwa sifa zilizomuibua Magufuli ni sifa inayoitwa "uthubutu" boldness and sometimes unreasonably boldness...www.jamiiforums.com
January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President
Watch Clouds 360 Degrees Live , January Makamba yuko Live. January Makamba, akiongea, anaonekana yuko very intelligent upstairs kwa sababu anaonyesha ana think kabla ya kuongea. Kuna baadhi ya viongozi wetu, I doubts kama wana think kabla hawajaongea ndio maana kiwango cha upayukaji kwa awamu...www.jamiiforums.com
Prof. Mbarawa ni Presidential material! Tuwaspot na kuwagroom Presidential materials au tumwache tu yeyote awe?
Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huwa na swali, na hoja, halafu jibu tulitoa wewe mwenyewe. Moja ya matatizo makubwa ya nchi yetu ni kutokuwa na kitu kinachoitwa succession plan kwenye urais wa nchini, hivyo mwaka wa uchaguzi ukifika, kila mtu...www.jamiiforums.com
PUchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali tuu, Ili uchaguzi wa 2020 usiwe ni igizo tuu la uchaguzi, Je tumchagize na kushinikiza Tundu Lissu ndiye asimamishwe na upinzani kumkabili John P. Magufuli? kwa sababu mpaka sasa, Tundu Lissu ndie mwanasiasa pekee wa upinzani ambaye so far, ameonyesha ana...www.jamiiforums.com
Paschal, unasema Kabudi anakabiliwa na vitu fulani, ila kwangu mim namwona kama mwoga kwenye maamuzi na mtu asiyetaka lawama,,hili kwa taasis hii si zuri maana lazima uwe na maauzi la sivyo watakuamulia wengine na utaumiza watu,
Makonda ni mzuri lakini ujana bado unamsumbua yaani utulivu wa maamuzi, kwa muono wangu huyu hafai, Kigwa nae kama Makonda,badae wanaweza kuja kuwa viongozi wazuri sana lakini kwa hii miaka 5 tu ijayo inaweza kuwa bado, Prof Mbarawa yuko vizuri, Mwinyi, yuko vizuri ingawa amekaa na wizara ambayo si rahisi sana kuonekana mapungufu kijamii,
Kwangu raisi ajaye natamani awe our current PM, Majaliwa Majaliwa, kazi inapigwa vizuri tu na maturity ya kimaongozi ipo,,ametulia mzee wa watu kwenye maamuzi na akisema amemanisha, huu ni upande wa ccm
Kwa wenzetu, upande wa pili baada ya Dr Slaa kuondoka, Lisu anaweza kufaa sana lakini bahati mbaya watu wanaweza tumia tukio lake kama fimbo kwake na wakapenyeza vyao,,yaani mataifa ya nje, Lisu yuko vizuri sana lakini kwa hili anatakiwa kuwa mwangalifu akipata nafasi hiyo kusimamia nchi yake, control ya influence ya nje ya mipaka yetu muhimu, nimeweka hii kwa mfano wa Raulent Kabila, Prof Baregu kwa maturity ya kimaongozi pia anaweza kutufaa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
According to my inner source, Rais ajaye anatoka ukanda wa Pwani na yumo ndani ya baraza la mawaziri na by the time atakuwa na not more than 52 yearsHakunaga limit number ya ubashiri
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
Wanabodi, Kabla Magufuli hajawa rais wetu, sisi wengine wenu tulijua tangu mwaka 2014 na tukasema humu!.Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli Miongoni mwa sifa zilizomuibua Magufuli ni sifa inayoitwa "uthubutu" boldness and sometimes unreasonably boldness...www.jamiiforums.com
January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President
Watch Clouds 360 Degrees Live , January Makamba yuko Live. January Makamba, akiongea, anaonekana yuko very intelligent upstairs kwa sababu anaonyesha ana think kabla ya kuongea. Kuna baadhi ya viongozi wetu, I doubts kama wana think kabla hawajaongea ndio maana kiwango cha upayukaji kwa awamu...www.jamiiforums.com
Prof. Mbarawa ni Presidential material! Tuwaspot na kuwagroom Presidential materials au tumwache tu yeyote awe?
Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huwa na swali, na hoja, halafu jibu tulitoa wewe mwenyewe. Moja ya matatizo makubwa ya nchi yetu ni kutokuwa na kitu kinachoitwa succession plan kwenye urais wa nchini, hivyo mwaka wa uchaguzi ukifika, kila mtu...www.jamiiforums.com
PUchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali tuu, Ili uchaguzi wa 2020 usiwe ni igizo tuu la uchaguzi, Je tumchagize na kushinikiza Tundu Lissu ndiye asimamishwe na upinzani kumkabili John P. Magufuli? kwa sababu mpaka sasa, Tundu Lissu ndie mwanasiasa pekee wa upinzani ambaye so far, ameonyesha ana...www.jamiiforums.com
Sawa kwa maelezo yako, probably that silent rule will be overruled, ila makonda kweli? MAKONDA awe Rais wa nchi hii? No wonder Waafrika tupo nyuma kimaendeleo, suala tu la Ku suggest makonda ni upungufu Mkubwa sana wa fikra!Naunga mkono hoja ya political speculation ya mtu yoyote kuweza kuwa rais wa Tanzania, japo trends za urais kwa mujibu wa silent rules za CCM zinaelekeza rais ajae anapaswa kuwa Muislamu kwa mujibu wa kanuni ya siri ya urais ni kupokezana kati ya Mkristo na Muislamu.
Kwa vile rais wa sasa ni Mkristo, then rais ajae ni lazima awe Muislamu. Hivyo silent movement ya kuwajeruhi every likely candidates ambao ni Waislamu imeanza, ilianza kwa Prof Mbarawa
Prof. Mbarawa ni Presidential material! Tuwaspot na kuwagroom Presidential materials au tumwache tu yeyote awe?
Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huwa na swali, na hoja, halafu jibu tulitoa wewe mwenyewe. Moja ya matatizo makubwa ya nchi yetu ni kutokuwa na kitu kinachoitwa succession plan kwenye urais wa nchini, hivyo mwaka wa uchaguzi ukifika, kila mtu...www.jamiiforums.com
Kufuatia huyu kuwa likely candidate, karata zimeisha changwa kumtoa kwenye wizara ambayo ata ngara na kumuweka wizara ya kifo ambayo ni sawa na kumtupia tuu kamba wakimsubiri ajinyonge
Akaja January Makamba,
January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President
Watch Clouds 360 Degrees Live , January Makamba yuko Live. January Makamba, akiongea, anaonekana yuko very intelligent upstairs kwa sababu anaonyesha ana think kabla ya kuongea. Kuna baadhi ya viongozi wetu, I doubts kama wana think kabla hawajaongea ndio maana kiwango cha upayukaji kwa awamu...www.jamiiforums.com
Walimtafutia visa kwenye mazingira, wakakosa, jamaa akaja kujikwaa kwenye kumsaidia baba yake kwenye ile voice note, jamaa pale pale akala kichwa!.
Sasa threth ni Jafo, Dr. Mwinyi na Dr. Kigwa, naona Kigwa gazeti la Jamhuri limeisha anza kumpumulia!. Jafo na Dr. Mwinyi bado hawajapata pa kuwashikia.
Licha ya hii kanuni ya kupokezana kwa dini, kuna baadhi ya watu ni wazuri kumpokea Magufuli ila sio Waislamu mmoja wapo ni huyu
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
Wanabodi, Kabla Magufuli hajawa rais wetu, sisi wengine wenu tulijua tangu mwaka 2014 na tukasema humu!.Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli Miongoni mwa sifa zilizomuibua Magufuli ni sifa inayoitwa "uthubutu" boldness and sometimes unreasonably boldness...www.jamiiforums.com
Hivyo kumtaja Prof. Kabudi naye kuwa likely sio mbaya, ila Kabudi hawezi kuwa rais wa nchi hii kwasababu anakabiliwa na changamoto fulani hivi ziwezi kuitaja maana nitanyooshewa vidole vya ....
P
UNABOA NA THREADS ZAKO UCHWARA. WEWE JAMAA MSHAMBA SANA SIJAPATA KUONA. PIA I HATE YOU AS HELLNaunga mkono hoja ya political speculation ya mtu yoyote kuweza kuwa rais wa Tanzania, japo trends za urais kwa mujibu wa silent rules za CCM zinaelekeza rais ajae anapaswa kuwa Muislamu kwa mujibu wa kanuni ya siri ya urais ni kupokezana kati ya Mkristo na Muislamu.
Kwa vile rais wa sasa ni Mkristo, then rais ajae ni lazima awe Muislamu. Hivyo silent movement ya kuwajeruhi every likely candidates ambao ni Waislamu imeanza, ilianza kwa Prof Mbarawa
Prof. Mbarawa ni Presidential material! Tuwaspot na kuwagroom Presidential materials au tumwache tu yeyote awe?
Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huwa na swali, na hoja, halafu jibu tulitoa wewe mwenyewe. Moja ya matatizo makubwa ya nchi yetu ni kutokuwa na kitu kinachoitwa succession plan kwenye urais wa nchini, hivyo mwaka wa uchaguzi ukifika, kila mtu...www.jamiiforums.com
Kufuatia huyu kuwa likely candidate, karata zimeisha changwa kumtoa kwenye wizara ambayo ata ngara na kumuweka wizara ya kifo ambayo ni sawa na kumtupia tuu kamba wakimsubiri ajinyonge
Akaja January Makamba,
January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President
Watch Clouds 360 Degrees Live , January Makamba yuko Live. January Makamba, akiongea, anaonekana yuko very intelligent upstairs kwa sababu anaonyesha ana think kabla ya kuongea. Kuna baadhi ya viongozi wetu, I doubts kama wana think kabla hawajaongea ndio maana kiwango cha upayukaji kwa awamu...www.jamiiforums.com
Walimtafutia visa kwenye mazingira, wakakosa, jamaa akaja kujikwaa kwenye kumsaidia baba yake kwenye ile voice note, jamaa pale pale akala kichwa!.
Sasa threth ni Jafo, Dr. Mwinyi na Dr. Kigwa, naona Kigwa gazeti la Jamhuri limeisha anza kumpumulia!. Jafo na Dr. Mwinyi bado hawajapata pa kuwashikia.
Licha ya hii kanuni ya kupokezana kwa dini, kuna baadhi ya watu ni wazuri kumpokea Magufuli ila sio Waislamu mmoja wapo ni huyu
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
Wanabodi, Kabla Magufuli hajawa rais wetu, sisi wengine wenu tulijua tangu mwaka 2014 na tukasema humu!.Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli Miongoni mwa sifa zilizomuibua Magufuli ni sifa inayoitwa "uthubutu" boldness and sometimes unreasonably boldness...www.jamiiforums.com
Hivyo kumtaja Prof. Kabudi naye kuwa likely sio mbaya, ila Kabudi hawezi kuwa rais wa nchi hii kwasababu anakabiliwa na changamoto fulani hivi ziwezi kuitaja maana nitanyooshewa vidole vya ....
P
lengo ni kuleta mizania ya ubalanceHii hoja ya tanganyika na zanzibar kwa kipindi hiki nafikiri haisaidii sana,watu wanaweza kuleta sababu za kulinda muungano lakini sioni kama ina mantiki kwa sasa,
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh! Nchemba ni kijan[emoji50]Kwa vijana wanaochopukia, Lameck mwana wa Nchemba bado anaweza kufaa pia kwa miaka ya mbeleni, pamoja na ubaya anaotajwa nao na udhaifu bado ni kijana mzuri, mabadiliko ya JPM yamemshape kiasi fulani, alivokuwa pindi yuko wizara ya fedha kama naibu na kina Malima no tofauti na sasa,
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyerere alikuwa Salim Ahmed Salim, sema akawa kama hataki..Mkapa kaliekezea hili kwenye kitabu chakeREF: NYERERE ==> MKAPA!
Jidanganye tu JP ni Matakwa ya JK .awamu ya 4 n mtu hatar sana kwenye siasaWatawala wa JMT waliotangulia hakuna aliyewahi kufanikiwa mteule wake kuwa Rais, ikitokea itakuwa mara ya kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu kutoka jalalani aongoze watu kutoka majumbani mwao?