Prof. Kabudi: Kwa sasa Wananchi hawatapewa dawa za kukabiliana na Corona kutoka Madagascar, inafanyiwa utafiti kwanza

Wizara ya Afya ina bind na WHO, haiwezi kabisa kushiriki mambo ya ramli za kienyeji..hakuna kabisa.

Kama tukifanya hivyo basi rasmi tutajitenga na mashitaka yote ya afya duniani..

Huu ugonjwa ni wa kisayansi na ni lazima kujikinga ama kujitibia kisayansi

Hayo ya kikombe vya madagaska, kujifunza ni add on tu...aka kujiongeza kivyako.

WHO wenye hati milki ya huu ugonjwa wanasema so far hauna tiba wala chanjo....

Jiepushe na mikusanyiko, nawa mikono yako kwa maji tiririka, vaa barakoa muda wote unapotoka kwako.

(Stay home )
 
Makofi kwake tafadhari, wangapi wameona akinywa sample ya dawa ?

Babu wa loliondo part 2 ni Madagascar's
 
Jeezussss.....
Ikichunguzwa ni sumu na alishagigida mbele ya camera itakuwaje??

So much for a used useless politician..
Kiherehere mpaka aibu, kajivikia uwaziri wa Afya wa kimataifa ..

Nonsense!

Everyday is Saturday........................ 😎
 
Yaani kuna muda unashindwa elewa watanzania tunataka nini, ni ujanja lawama, ujuaji, ukosiaji

Korona ipo chukua tahadhari


It is never too late to begin. Start now
Kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka, kujipaka kitakasa mikono, kuvaa barakoa, kuacha kuzurura ovyo, kujifukiza kwa tahadhari, kunywa "Corona Mix" ya Tangawizi, kitunguu saumu, kitunguu maji, limao na asali kila baada ya siku moja.
 
Chupa 2 wakati mabox yameonekana na chata ya ramani ya TZ...wanataka wawe wanajitibu wao kwa pesa za waTZ wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amekulia majalalani...nini kunywa dawa iliyo kuwa packed vizuri kwenye chupa safi bana.
 
Fuatilia unaambiwa Prof. Kabudi aliongoza jopo la wataalamu ambapo baada ya kutua Madagascar jopo hilo na wale wa huko walikaa masaa 4 wakijadili masuala ya kitaalamu.
Tunaweza sema Katika hili ni Mwenyekiti wa jopo.
Fuatilia wewe alichosema mganga mkuu wa serikali. Hakuna jopo wala m/kiti hapo. Kiki hizo kiki mbele kwa mbele. Dawa hakuna. Ili iwe dawa lazima simbilisi kwanza. Wamepatikaña kwa wingi Tanzania. Wa kwanza akiwa ni propesa Kabundi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…