Prof. Kabudi: Kwa sasa Wananchi hawatapewa dawa za kukabiliana na Corona kutoka Madagascar, inafanyiwa utafiti kwanza

Profesa Majalala kaionja dawa kaona tamu, kaamua kubadili gia angani ili wafaidi wachache... ni mambo za kula na kipofu tu.
 
Simbilisi!!,what d'you mean?
 
Hakuna kitu hapo ni siasa tu hizo. Waziri wa afya ameona ajikate maanake ni usanii tu.

Angejitokeza hapo, kimataifa angetakiwa ajiuzulu kwa kujihusisha na mambo yasiyoendana na taaluma ya afya.
 
Cha msingi tuendelee kujikinga kwa kufuata taratibu zote kwa mhjibu wa Wizara ya Afya.
 
Kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka, kujipaka kitakasa mikono, kuvaa barakoa, kuacha kuzurura ovyo, kujifukiza kwa tahadhari, kunywa "Corona Mix" ya Tangawizi, kitunguu saumu, kitunguu maji, limao na asali kila baada ya siku moja.

Sauti iko chini naongeza wasikie


It is never too late to begin. Start now
 
ni sahihi kwa wataalam.wa bongo kuifanyia utafiti na kama wakiona inafaa ndo waanze kuiruhusu itumike sizani km sahihi kuiamini madagasca moja kw moja bora wajilizishe kwanza ....
Uko sahihi, lakini chupa mbili unawasha Ndege kuzifuata, mbona mmoja angesafiri kwenda na kurudi nazo.

Au balozi wa kule angeambiwa alete tu chupa hizo mbili. Hakukuwa na haja ya kutumia gharama kubwa kwenda kubeba sample.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia usiitunze ikageuka gongo, kwani mweshimiwa naye daktari? Au mnajaribisha na familia zenu kwanza mmmm haya.

Hivi Watanzania ni mbumbumbu kiasi hiki kweli? Wakati walisema ndege itaifuata dawa huko, balozi ana kazi gani huko!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilisema mimi, amekunywa dawa za mwenye dawa zake akidhani ni Vimto. Ila sasa kama zililetwa kwa ajili ya utafiti ilikuwaje yeye akafungua chupa na kuanza kuinywa hadharani?

Hivi hawa majamaa yameshawaoneni kwamba watanzania ni maamuma sana au?
Itakuwa nayeye ni sehemu ya utafiti mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…