Prof Kabudi: Mwandishi mmoja wa kigeni aliandika kuhusu kifo cha Sokoine kwamba Nyerere alihusika au alifaidika na kifo hicho

Prof Kabudi: Mwandishi mmoja wa kigeni aliandika kuhusu kifo cha Sokoine kwamba Nyerere alihusika au alifaidika na kifo hicho

Horace Kolimba nae aliamua kumwaga ugali na mboga pale aliposema CCM imepoteza dira na mwelekeo.

Mwaka 1994 Kolimba alifanya mahojiano maalum na gazeri la Rai na akaeleza kwa kirefu namna ambavyo CCM imepoteza Dira.

Ile ilikuwa ni kama vile wajitafutia matatizo na marehemu Kolimba akaitwa Chamwino ajieleze.

Kikao kiliokuwa ni kizito kikiongozwa na hayati Mwalimu na marehemu Kolimba akazidiwa masuali mazito likiwemo suali kwamba mbona una "too much ambitions"?

Kolimba alikuwa kwenye lile kundi la watanzania wasomi 14 wa kwanza walokwenda kusoma sheria UDSM na alisomea hivyo kijana wa Minaki alifahamu kutema cheche vifungu kwa vifungu hivyo alikuwa ni tishio.

Hiyo timu ilikuwa na watu kama mzee Joseph Warioba, mzee Job Lusinde, Mohamed Kissoky, mzee John Malecela, mzee Alfred Tandau na wengine.

Kolimba alikuwa na vision na alipanua mawazo alipofanya kazi na marehemu Sokoine na Salim Ahmed Salim ndo maana aliona CCM imepiteza Dira, kwani viongozi hao walikuwa na maono makali juu ya nchi hii, ila CCM ilikuwa ndo tatizo.
CCM sasa imekuwa genge la wakora kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake kwa ruksa ya mwenyekiti wao
 
Alafu unajua mimi huwa najiuliza nikiwa tu darasa la pili nilianza kukataa kuimbishwa zidumu FIKIRA za mwenyekiti wa CCM, nikamwuliza mwalimu wangu kwa nini tunaambiwa zidumu fikira za mwenyekiti wa CCM ili hali hatujui anafikiria nini? Ajabu nilishia kulambwa bakora za kutosha na kutumwa nikaite mzazi eti nina tabia mbaya. Mzazi naye bila kunisikiliza akaungana na mwalimu na kunitandika bakora za kutosha kwa hoja dhaifu sana kwamba nina akili darasani lakini ninataka kuanza kuwa na tabia.
Nikiwa darasa la sita nako nikakumbana na kadhia ya kufukuzwa shule kwa sababu nilikataa kujiandikisha kupiga kura, sababu ya kukataa ilikuwa ni dhahiri kwa kipindi hicho sikuwa nimetiza miaka 18, japo uchaguzi wenyewe ulikuwa ni wachama kimoja lakini wabunge walikuwa wanagombea wawili isipokuwa Rais ndo alikuwa anasimama na kivuli.

Nakumbuka mwalimu wangu mkuu alikuwa swaiba sana wa mgombea mmoja wapo aliyekuwa akifahamika kwa jina la Charles Magoti, hivo ili kumwongezea kura alichukuwa vijana wote ambao walionekana warefu na wenye uwezo wa kutambua na kufuata maelekezo wajiandikishe kupiga kura.

Mimi nilihoji tu kama katiba ya CCM inatakamka kwamba mtu ambaye anaruhusiwa kupiga kura ni yule tu aliyetimiza umri wa miaka 18 iweje sisi tulazimishwe kupiga kura? Nikafukuzwa shule kwa muda wa miezi 3. Hizi figusu zilianza miaka mingi sana.

Hoja yangu ni nini? Hoja yangu ni kwamba kitabu cha SOKOINE kilipaswa kuandikwa na watu wasiofungana na upande wowote na si akina KADARI SINGO ( PE)
Nadharia ni nyingi sana mnazokuja nazo.
Nikueleza moja tu kati ya yote uliyoyaandika.
Swali la ulinzi kwa viongozi lilikuja kuwa structured upya baada ya kifo cha Sokoine. Kabla ya hapo hakukuwepo na misafari na ving'ora kwa viongozi wengine zaidi ya rais.
 
Waziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi amesema baada ya Kifo Cha Sokoine Maneno mengi yalisemwa ikiwemo " aliuawa kwa njama"

Mwandishi mmoja wa kigeni aliandika Kifo Cha Sokoine Mwalimu Nyerere Alihusika au Alifaidika na Kifo hicho

Mwandishi huyo alisema Nyerere alihofia Sokoine akiwa Rais atapendelea mfumo wa Sekta Binafsi

Prof Kabudi anasema Mwalimu Nyerere alisikitika sana baada ya kusoma Makala hayo na kumwomba Mungu wa Mbinguni amsamehe Mwandishi yule

Source: Mwanahalisi Digital
Usimwamini Kabudi hata siku moja. Lile ni Leprofeseri. Linaendana na mdundo wa nyakaki husika. Kabudi hachelewi kumwita bosi wake Mheshimiwa Mungu na kesho yake akabadili gia angani. Li Profeseri lioga sana lile.
 
Waziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi amesema baada ya Kifo Cha Sokoine Maneno mengi yalisemwa ikiwemo " aliuawa kwa njama"

Mwandishi mmoja wa kigeni aliandika Kifo Cha Sokoine Mwalimu Nyerere Alihusika au Alifaidika na Kifo hicho

Mwandishi huyo alisema Nyerere alihofia Sokoine akiwa Rais atapendelea mfumo wa Sekta Binafsi

Prof Kabudi anasema Mwalimu Nyerere alisikitika sana baada ya kusoma Makala hayo na kumwomba Mungu wa Mbinguni amsamehe Mwandishi yule

Source: Mwanahalisi Digital
Kifo cha huyu Maasai na pamoja na kile cha Sheikh Abeid Amani Karume mhusika ni Mwl. Sema watu waliogopa kumuhusika ndo maana wakatafutwa wahusika wa kusingiziwa.
 
Horace Kolimba nae aliamua kumwaga ugali na mboga pale aliposema CCM imepoteza dira na mwelekeo.

Mwaka 1994 Kolimba alifanya mahojiano maalum na gazeri la Rai na akaeleza kwa kirefu namna ambavyo CCM imepoteza Dira.

Ile ilikuwa ni kama vile wajitafutia matatizo na marehemu Kolimba akaitwa Chamwino ajieleze.

Kikao kiliokuwa ni kizito kikiongozwa na hayati Mwalimu na marehemu Kolimba akazidiwa masuali mazito likiwemo suali kwamba mbona una "too much ambitions"?

Kolimba alikuwa kwenye lile kundi la watanzania wasomi 14 wa kwanza walokwenda kusoma sheria UDSM na alisomea hivyo kijana wa Minaki alifahamu kutema cheche vifungu kwa vifungu hivyo alikuwa ni tishio.

Hiyo timu ilikuwa na watu kama mzee Joseph Warioba, mzee Job Lusinde, Mohamed Kissoky, mzee John Malecela, mzee Alfred Tandau na wengine.

Kolimba alikuwa na vision na alipanua mawazo alipofanya kazi na marehemu Sokoine na Salim Ahmed Salim ndo maana aliona CCM imepiteza Dira, kwani viongozi hao walikuwa na maono makali juu ya nchi hii, ila CCM ilikuwa ndo tatizo.
Ccm ni chama kizuri sana hakuna mfanowe ila kuna watu wamekiteka na kujifanya kukimiliki hao ndio wanaoharibu taswira yake.
 
Waziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi amesema baada ya Kifo Cha Sokoine Maneno mengi yalisemwa ikiwemo " aliuawa kwa njama"

Mwandishi mmoja wa kigeni aliandika Kifo Cha Sokoine Mwalimu Nyerere Alihusika au Alifaidika na Kifo hicho

Mwandishi huyo alisema Nyerere alihofia Sokoine akiwa Rais atapendelea mfumo wa Sekta Binafsi

Prof Kabudi anasema Mwalimu Nyerere alisikitika sana baada ya kusoma Makala hayo na kumwomba Mungu wa Mbinguni amsamehe Mwandishi yule

Source: Mwanahalisi Digital
Sio alisema bali alinukuu. Hebu heshimu taaluma Yako ya kuandika mambo kwenye hili jukwaa.
 
Nyerere alikuwa mjanja mjanja sana, kama wakina Samuel Sitta walimsumbua basi hiki kizazi cha sasa kingempa headache zaidi
Kwani hiki kizazi cha sasa (cha hovyo kabisa) kina jipya la kutishia nyau?

1.Hujui kwamba pale UDSM zamani kulikuwa na Vijana wanaojua kuhoji kuliko leo? Vipanga wa leo pale UDSM na Vyuo Vikuu wote si ni watu wa kukariri madesa tu ili wafaulu kwa GPA kubwa ila uwezo wa kujenga hoja ni 0. Prof.Issa Shivji anajua kuhusu hili.

2.Vijana walioko kwenye Jeshi lenu leo wanaweza kufanya yale majaribio waliyofanya wenzao miaka ya 1964 na 1982? Yaani hao akina Clinton Damas 'Nyundo' wanao huo uthubutu? Kama siyo kwamba wanachojua ni kubaka,kulawiti na kupoteza tu.

Yule Zachariah Hans Pope na wenzake walikuwa watu na nusu wale. Hata alipoamua kujikita kwenye soka pale Simba SC shughuli yale ilionekana, na hadi sasa Simba wanahangaika kuziba pengo.
 
Kijiweni kwetu wanasema.

Ile operesheni ya uhujumu uchumi aliyokuwa akiisimamia Sokoine baada ya kumaliza kwa wananchi ilikua inakwenda kuanza kuwagusa viongozi,

Kuna viongozi wawili wakubwa na maarufu ambao nao walishika nafasi ya Sokoine stori zinasema ili kukwepa aibu wakafanya yao.

Ila ipo siku mambo yatakuwa hadharani.
Ten nliskia Kuna mmoja kati ya hao watu 2 waliwah kushka iyo nafas kabla ya sokoine mmoja wao aliuza meli ya tz million 60 ,hivyo sokoine alamwambia nikja dar utanieleza uliuzaje meli ya umma na pesa ulipeleka wap?
 
Back
Top Bottom