haya nayajuwa mkuu...nazungumzia wakati wa harakati za kudai uhuru, na mara baada ya uhuru kupatikana.
..Rashidi Kawawa alijiunga na Tanu akitokea ktk jumuiya za vyama vya wafanyakazi.
Si mgeni lakini sijawahi kuona utapeli wa Kabudi.Infact katika mawaziri ambao nimeshawahi kuwapenda,Kabudi ni mmoja wapo.Ni mwamba aliye na misimo isiyotumba na mizuri.Tanzania tunahitaji viongozi aina ya Kabudi.We utakuwa ni mgeni hapa Tz
Napata shida sana kumhusisha Rashid Kawawa kwenye mkasa kama huu wa kifo cha Sokoine. Basi tu akili ya binaadam kutunga taarifa na kuieneza ni jambo jepesi sana...nazungumzia wakati wa harakati za kudai uhuru, na mara baada ya uhuru kupatikana.
..Rashidi Kawawa alijiunga na Tanu akitokea ktk jumuiya za vyama vya wafanyakazi.
..hoja yangu ni kwamba Rashid Kawawa angeweza kung'ang'ania ktk Uwaziri Mkuu mwaka 1962 wakati Mwalimu Nyerere alipojiuzulu nafasi hiyo.
..sasa mimi nimejenga hoja kuwapinga wanaodai kuwa Rashidi Kawawa amehusika kumuua Edward Sokoine ili kutimiza dhamira yake ya kuwa mrithi wa Mwalimu Nyerere.
Pro Kabudi huyu huyu alieokotwa jalalani.Si mgeni lakini sijawahi kuona utapeli wa Kabudi.Infact katika mawaziri ambao nimeshawahi kuwapenda,Kabudi ni mmoja wapo.Ni mwamba aliye na misimo isiyotumba na mizuri.Tanzania tunahitaji viongozi aina ya Kabudi.
Dumisani Dube alishafariki na kuzikwa South AfricaWewe naweza kukusikiliza, kwa hayo uliyo andika na kuyatafakari kwa kina.
Umetaja uhusika wa CCM, kwa vipi. Hao ulio taja majina ndio walikuwa ni CCM?
Sasa tungekuwa na waandishi nguli wa maswala ya uchunguzi; mengi ya haya ndiyo wange yatumia kuzama katika uchunguzi wao, na kutoka na bonge la kitabu au taarifa ya chapisho.
Na huyo Dube bila shaka yungali hai?
Thom Mboya alifariki mwaka gani kweli?Siku hiyo nilikuwa natafuna hamburger tukiwa na Mkenya mmoja pale Metropole,Arusha akasisitiza bila ushahidi kuwa haya ni mauji kama ya Tom Mboya huko kwao.
Juhudi zangu zote za kukanusha zilishia kwenye masikio ya Chura Kiziwi.
Unatolea mifano ya wanajeshi ambao wakati wa mwl wenu walikuwa wanalipwa vimishahara vinavyoishia kwenye ulevi wa pombe ndio maana walitaka kumpindua.Kwani hiki kizazi cha sasa (cha hovyo kabisa) kina jipya la kutishia nyau?
1.Hujui kwamba pale UDSM zamani kulikuwa na Vijana wanaojua kuhoji kuliko leo? Vipanga wa leo pale UDSM na Vyuo Vikuu wote si ni watu wa kukariri madesa tu ili wafaulu kwa GPA kubwa ila uwezo wa kujenga hoja ni 0. Prof.Issa Shivji anajua kuhusu hili.
2.Vijana walioko kwenye Jeshi lenu leo wanaweza kufanya yale majaribio waliyofanya wenzao miaka ya 1964 na 1982? Yaani hao akina Clinton Damas 'Nyundo' wanao huo uthubutu? Kama siyo kwamba wanachojua ni kubaka,kulawiti na kupoteza tu.
Yule Zachariah Hans Pope na wenzake walikuwa watu na nusu wale. Hata alipoamua kujikita kwenye soka pale Simba SC shughuli yale ilionekana, na hadi sasa Simba wanahangaika kuziba pengo.
Hiki kizazi ambacho hakijui hata haki zake?Nyerere alikuwa mjanja mjanja sana, kama wakina Samuel Sitta walimsumbua basi hiki kizazi cha sasa kingempa headache zaidi
Nyerere Kama walivyo intelligent leaders alikuwa surrounded na wasomi wengi wabishi. Survival was very important at the time. Chagua Kambona au Kawawa, obviously Kawawa ndiyo atakusikiliza, watu kama Kambona walikuwa mwiba...nazungumzia wakati wa harakati za kudai uhuru, na mara baada ya uhuru kupatikana.
..Rashidi Kawawa alijiunga na Tanu akitokea ktk jumuiya za vyama vya wafanyakazi.
..hoja yangu ni kwamba Rashid Kawawa angeweza kung'ang'ania ktk Uwaziri Mkuu mwaka 1962 wakati Mwalimu Nyerere alipojiuzulu nafasi hiyo.
..sasa mimi nimejenga hoja kuwapinga wanaodai kuwa Rashidi Kawawa amehusika kumuua Edward Sokoine ili kutimiza dhamira yake ya kuwa mrithi wa Mwalimu Nyerere.
Mimi nadiriki kusema Tanzania haijawahi kushuhudia wakati ambao akili za raia wao zimelala kama zilivyo wakati huu. Tatizo pia linakuwa kwamba, hawa waliopo sasa hivi bado kuna kundi kubwa lililokuwepo pia wakati wa kupata uhuru; na baadhi yao bado ni washiriki wakubwa katika kukilaza akili kizazi hiki cha sasa!Kuna kizazi kitakuja kione kizazi chetu ndio kizazi kilichowahi kuwa na wajinga zaidi katika vipindi vyote vya utawala wa Marais just imagine tunaongozwa na huyu maza.
Kile kizazi cha zidumu fikra za mwenyekiti kina lipi la kujivunia zaidi ya kukuza kizazi cha watukutuHiki kizazi ambacho hakijui hata haki zote?
hata zamani ameua sana. nashangaa akina Buti sijui Butiku anapata wapi moral authority kusikitishwa na mauaji ya sasa wakati alikua mshirika na mbariki mauaji na mateso zama za awamu ya 1 tena akiwa mmoja wa perpetrators wa ngazi ya juu.Angeongoza ila kwa kuua watu wengi zaidi ya Samia anavyoua sisimizi
Sifa kuu ya mwanaccm yoyote ni UNAFKIhata zamani ameua sana. nashangaa akina Buti sijui Butiku anapata wapi moral authority kusikitishwa na mauaji ya sasa wakati alikua mshirika na mbariki mauaji na mateso zama za awamu ya 1 tena akiwa mmoja wa perpetrators wa ngazi ya juu.
Sasa usishangae siku moja ukisikia taarifa zinazo husiana na kifo chake humu humu JF, kuwa kulikuwepo na watu walio mtoa njiani asije akafichuwa taarifa alizo kuwa nazo. Hii ndiyo hali halisi ya siku hizi.Dumisani Dube alishafariki na kuzikwa South Africa
Wataje tu mkuu 'Meru' tupo tayarikabisa kukusikiliza; hao walio uliwa walikuwa ni ndugu zetu pia.hata zamani ameua sana. nashangaa akina Buti sijui Butiku anapata wapi moral authority kusikitishwa na mauaji ya sasa wakati alikua mshirika na mbariki mauaji na mateso zama za awamu ya 1 tena akiwa mmoja wa perpetrators wa ngazi ya juu.
Usijidanganye, thamani ya hivyo vimishahara unavyosema vilikuwa afadhali miaka hiyo baada tu ya mkoloni. Adjust na inflation utashangaa kwa life style ya wakati ule maisha hayakuwa magumu. Kila kitu kiliharibika baada ya vita ya nduliUnatolea mifano ya wanajeshi ambao wakati wa mwl wenu walikuwa wanalipwa vimishahara vinavyoishia kwenye ulevi wa pombe ndio maana walitaka kumpindua.
ExcellentMimi nadiriki kusema Tanzania haijawahi kushuhudia wakati ambao akili za raia wao zimelala kama zilivyo wakati huu. Tatizo pia linakuwa kwamba, hawa waliopo sasa hivi bado kuna kundi kubwa lililokuwepo pia wakati wa kupata uhuru; na baadhi yao bado ni washiriki wakubwa katika kukilaza akili kizazi hiki cha sasa!
Akina Kikwete, Kabudi; akina Anna Makinda, akina Msekwa; na wengi wengine, ndio washiriki wakuu katika kulaza akili za waTanzania. Sasa tunauliza, imekuwaje hii?
Umegusia "wakuu wa JF"; bila shaka ukiwa na maana ya wachangiaji wa mijadala humu. Unaangalia mijadala yenyewe na waanzilishi wake, imebaki tu kuwa ni mahali pa kufanya uchawa kwa viongozi wanao wapa maslahi.
Nenda kwenye vyombo vya habari, magazeti na hata redio na TV; hali ni ileile.
Siyo kazi ngumu ukitaka kulinganisha. Tafuta tu Daily News, ya akina Philip Ochieng na wengine wa wakati ule; na linganisha na makala hizi katika gazeti lolote lile unaloweza kulisoma leo hii.
Hapa JF pamekuwa sasa ni mahala pa kuleta taarifa za kuonyesha ubovu wa viongozi walio pita kana kwamba wanashindana na hawa wa leo au wa jana; bila ya kujali mazingira yaliyo tofauti kabisa
Na hata hizo taarifa zinazo letwa ni za kutunga tu, kama ilivyo hii hapa inayo mhusu Edward Sokoine, ambaye utendaji wake ulimkosha sana Mwalimu Nyerere.
Kwa hiyo, kizazi hiki cha leo, sidhani kuwa nchi hii itadidimia zaidi ya hapa ilipo fikia sasa hivi. Hapa tulipo sasa ndipo patakapo kuja kuleta mabadiliko makubwa zaidi. Hatuwezi kudidimia chini zaidi ya hapa!
Ondoa neno wetu na sema wangu. Siyo watu wote ni wanyongeLinganisha na mpendwa wetu JPM.