Prof. Kabudi: Rais wa Ufaransa amwandikia Barua kumpongeza Rais Magufuli kwa kuiwezesha Tanzania kuingia Uchumi wa Kati

Basi kama jinsi ambavyo ulichachamaa kucomment kwenye ule uzi bila kuhoji swala la link, ndivyo jinsi ambavyo ilitakiwa kucomment hapa, ama kupotezea Ili utafute nyuzi zinazokufariji kuelekea 2025.
 
Never trust the French, kutakuwa na kitu tu hapa wanakitaka kwetu. Hawa jamaa wanachafua sana siasa za Afrika Magharibi, wanapandikiza marais wawatakao na kuua wale wasiowataka na dunia haisemi kitu. Soon mtamuona Tundu Lissu Ufaransa kwenye kongamano la democrasia.
 
Basi kama jinsi ambavyo ulichachamaa kucomment kwenye ule uzi bila kuhoji swala la link, ndivyo jinsi ambavyo ilitakiwa kucomment hapa, ama kupotezea Ili utafute nyuzi zinazokufariji kuelekea 2025.

Once again,two wrongs can't make a right!Mimi kutokudai link katika uzi ule lilikuwa ni kosa.Unaelewa kuwa kwa sababu wakati ule nilitenda kosa, siyo sahihi na wala siyo tiketi ya kurudia tena kutenda kosa kama hilo?Yaani unaelewa kwa mfano siyo sahihi wala siyo tiketi kumuua mke wa pili kwa sababu amechepuka kisa ulimuua mke wa kwanza alipochepuka?Unaweza kujitetea mahakamani kuwa umeua mke wa pili kwa kuchepuka kwa sababu uliua mke wa kwanza alipochepuka?
 
Sio bure ufaransa washaiona fursa, utaachaje kumsifu bamkwe wakati unataka uoe kwake.
 
Walisema wataiwekea vikwazo Tanzania,wala hawajaipongeza kama mleta mada alivyoandika.
👉Furahia Sasa
Wekeni barua hapa, msijemkaingia mikataba ya kina 'mangungo' mkafikiri mnasifiwa.
Mabeberu hawawezi kusifisifia 'hovyo' bila wao kuwa na interest na hotcake za Tanzania.

Jidanganyeni na kutiana ujinga.
 
Wapuuzi wanajisifu kusifiwa na ufaransa huku wakijionesha kwa mamburula wa Tanzania ili wapate sifa.

Hata Sadam Hussein alikuwa rafiki sana wa Ufaransa na muuzaji wake mkubwa wa mafuta ila Ufaransa haikuweza kuwazuia Marekani na Uingereza kumuondoa kutokana na upuuzi wake.
 
Nilitegemea pongezi zingelikuwa kwa ushindi wa kishindo. Hiyo ndiyo ingekuwa habari
 
Watakuja kubisha na hili.
Hongera Tanzania, Hongera Rais John Pombe Joseph Magufuli [emoji123]
Hongera Uzalendo Wa Kitanzania [emoji7][emoji1241][emoji106]

Maendeleo hayana vyama [emoji16][emoji16]

Uchumi wa kati huo, Anafurahia bahasha mkononi

Your browser is not able to display this video.
 
Mabeberu wana weza kukusiafia baadaye waka kunyonga
 
Mnawaita MABEBERU, leo hamtaki watutenge.... kweli wakijani hamjielewi
 
Non-sense. Huyo Kabudi ndio mstari wa mbele kuwaita MABEBERU, leo eti barua, SO what?. Huo uchumi wa kati ni vzr serikali ya jiwe ikasaidia kuelimiasha wanaichi tulipo kuwa uchumi wa chini eg umeme unit moja ilikuwa Tsh 300 na sasa tuko wa kati unit moja TSh 150, lakini huo uchumi wa kati wa kwenye makaratasi, HELL!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…