Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Basi kama jinsi ambavyo ulichachamaa kucomment kwenye ule uzi bila kuhoji swala la link, ndivyo jinsi ambavyo ilitakiwa kucomment hapa, ama kupotezea Ili utafute nyuzi zinazokufariji kuelekea 2025.Unauliza ya kuwa Ile habari yetu ilikuwa na mashiko?Unaelewa kuwa two wrongs can't make a right?Unaelewa kuwa kwa mfano mimi kufanya kosa haihalalishi wala kukupa tiketi wewe ya kufanya kosa kama hilo?Unaweza kuua kisha ujitetee mahakamani kuwa umeua kwa sababu John ameua?