πππ Kuelekea 2025, inabidi muwe na mioyo ya chuma..!Wekeni barua hapa, msijemkaingia mikataba ya kina 'mangungo' mkafikiri mnasifiwa.
Mabeberu hawawezi kusifisifia 'hovyo' bila wao kuwa na interest na hotcake za Tanzania.
Jidanganyeni na kutiana ujinga.
Hata Kama wanajua hawawezi kumwambia ukweli maana jiwe hapendi ukweli anapenda sifa za kijingaUnafikiri walimzunguka wote hawamjui Kifaransa.
Pelekea ujinga kuku na bata ya bandan kule.nani anaweza kukupea wewe contaract uionee.hapa nu kazi tu potelea pote.sera ya sasa ni win win situation.Wekeni barua hapa, msijemkaingia mikataba ya kina 'mangungo' mkafikiri mnasifiwa.
Mabeberu hawawezi kusifisifia 'hovyo' bila wao kuwa na interest na hotcake za Tanzania.
Jidanganyeni na kutiana ujinga.
Hata kama.hapa ni bampa to bampa.win win situation.sera ni kama muamerika.no paermant frend or permenent enemy.Sio bure ufaransa washaiona fursa, utaachaje kumsifu bamkwe wakati unataka uoe kwake.
Mkajinyonge, mabwana zenu bado wanamshobokea.So what shida za Wananchi zimeisha au ndiyo zimeongezeka?
Mbona mnapiga kelele sasa na wakati ni nchi tajiri?Mkajinyonge, mabwana zenu bado wanamshobokea.
Kelele huwa zinapigwa na nyinyiMbona mnapiga kelele sasa na wakati ni nchi tajiri?
Mkisikia haya inzi mnapanga foleni hata mkidanganywa na kabudi mnapiga makofi ama kweli ninyi ni mazwazwaTunajua wanasaccos hampendi kusikia haya. Mlitegemea kusikia vikwazo ndiyo roho zenu zingekuwa kwatu!
Kumbe bado mnataka misaada ya beberuz?Tunawajulisha kwamba zile dua zenu za kutaka Tanzania itengwe zinazidi kupotea kwa kasi ya kutisha.EU wamesema hawana mpango wa kuweka vikwazo Tanzania [emoji1241] [emoji813] [emoji108] Wafuasi wa Lissu poleni kwa kuingizwa chaka. Lissu hajui serikali duniani zinavyoshirikiana.
Ingekuwa ni barua ya Robert Amsterdam kwenda The Hague mngejaza saver mkisifia!!!!So what shida za Wananchi zimeisha au ndiyo zimeongezeka?
Wewe ndio inakuingia kima wewe? Kila siku ooh, mtanyimwa misaada. Ooh, Tanzania imetengwa kimataifa. Sasa mnaona wanakuja kupongeza, eti bei simenti shinlingi ngapi? Pumbavu wewe, mtu mwenyewe unakaa kwa mamaako mpaka leo unahoji bei ya simenti? Nyumbu wewe?Tulia dawa iingie
π π π π π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Sijui kama jiwe anajua lugha yeyote ya kigeni.
Hiyo barua ni ya kifaransa labda kamuandikia kumuonya yeye anafikiri ni pongezi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni shidaaaaSijui kama jiwe anajua lugha yeyote ya kigeni.
Hiyo barua ni ya kifaransa labda kamuandikia kumuonya yeye anafikiri ni pongezi.
Mbona hata kabla hajaisoma ameshaijibu.Si unajua jamaa anajifanya yy ndo think Tank![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni shidaaaa