Prof. Kabudi: Rais wa Ufaransa amwandikia Barua kumpongeza Rais Magufuli kwa kuiwezesha Tanzania kuingia Uchumi wa Kati

Mambo haya hayahitaji hasira ni ya kidiplomasia zaidi

Wanamitandao kuweni na utulivu mliyoyatarajia huenda yasitokee kabisa.

HAPA KAZI TU
Yule kiwadi alienda huko analalamika ati warembo wetu.marafiki zetu hawakubali kuiwekea vikwazo Tanzania kwa kuwa ni.stable ,mwanasheria hajui issue zinazo mount kuingia ICC .mwisho wa aibu tupu
 
Ningefurahi kama kabudi kwa sasa angetumia weledi wake wote kuweka mambo yote sawa awafuate mabeberu akae nao awaeleze jinsi uchaguzi ulivyoenda wamuelewe waachie shekeli
 
Hahahaaaa mimi napita tu humu sichangii.
 
Leo kwao ndiyo story kubwa utafikiri shida za wananchi zimeisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…