Prof. Kabudi: Tanzania ndio tunaratibu mapambano ya Corona kwa nchi za SADC na Waziri Ummy aliongoza kikao cha kupanga mikakati mwezi Machi

Prof. Kabudi: Tanzania ndio tunaratibu mapambano ya Corona kwa nchi za SADC na Waziri Ummy aliongoza kikao cha kupanga mikakati mwezi Machi

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Akiwasilisha hotuba ya makadirio ya wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika mashariki Prof Kabudi amesema Tanzania ndio mratibu wa mipango ya kudhibiti Corona kwa nchi za SADC.

Prof Kabudi amesema mwezi March mwaka huu waziri wa afya mh Ummy Mwalimu aliongoza kikao cha mawaziri wa afya kwa nchi za SADC na kuweka mpango kazi ambao baadae uliridhiwa na kikao cha baraza la mawaziri wa SADC alichokiongoza yeye ( Prof Kabudi)

Pia Kabudi amesema hivi karibuni Rais Magufuli ambaye ndiye mwenyekiti wa SADC ameziomba taasisi za fedha duniani na nchi wahisani kuziondolea madeni nchi za SADC ili ziwexe kushiriki kikamilifu katika kulidhibiti janga hili hatari la Corona.

Chanzo: Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
 
Kwa mambo yanavyoenda hapa nchini, ya kufichaficha taarifa, kamwe siwezi amini taarifa yoyote ya serikali. So hata huyu Kabudi simwamini kabisa.
Ramaphosa na kiherehere chake kumbe alikuwa anaropoka tu

Ramaphosa alishindwa kuwatetea Wananchi wake waliouawa migodini akawatetea Wazungu

Ndio nikijua hamna kitu pale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha haturatibu chochote, tunalala na kuamka chato tunasikia milio ya ndege asubuhi tunaangalia tv na kupokea simu mbili tatu alafu tunarudi kulala.

Ye anaongelea kikao cha mwezi wa tatu bila hata aibu wakati huo corona haijafika hata Afrika, vijimaneno walivyosema kipindi kile ambavyo hawajakaa kukamilisha ndiyo wanakuja kusema wanaratibu? Nini my ass? Huyu profesa anahisi kila mtu ni mwanafunzi wake kilaza, hayupo serious kabisa, ile dawa ya madagascar imemchanganya akili.

Na ile casual talk ya jiwe kuomba msamaha wa fedha ndiyo anaona kama tunaongoza vile kwenye kupambana na covid? Hahaha ile nayo ataita effort? Hela wamewapa Kenya na Rwanda, sisi tufanyeje sasa? Tukae tujifukize? Nyambaf
 
Akiwasilisha hotuba ya makadirio ya wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika mashariki Prof Kabudi amesema Tanzania ndio mratibu wa mipango ya kudhibiti Corona kwa nchi za SADC.

Prof Kabudi amesema mwezi March mwaka huu waziri wa afya mh Ummy Mwalimu aliongoza kikao cha mawaziri wa afya kwa nchi za SADC na kuweka mpango kazi ambao baadae uliridhiwa na kikao cha baraza la mawaziri wa SADC alichokiongoza yeye ( Prof Kabudi)

Pia Kabudi amesema hivi karibuni Rais Magufuli ambaye ndiye mwenyekiti wa SADC ameziomba taasisi za fedha duniani na nchi wahisani kuziondolea madeni nchi za SADC ili ziwexe kushiriki kikamilifu katika kulidhibiti janga hili hatari la Corona.

Source: Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
Hapana hapo maendeleo yana vyama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akiwasilisha hotuba ya makadirio ya wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika mashariki Prof Kabudi amesema Tanzania ndio mratibu wa mipango ya kudhibiti Corona kwa nchi za SADC.

Prof Kabudi amesema mwezi March mwaka huu waziri wa afya mh Ummy Mwalimu aliongoza kikao cha mawaziri wa afya kwa nchi za SADC na kuweka mpango kazi ambao baadae uliridhiwa na kikao cha baraza la mawaziri wa SADC alichokiongoza yeye ( Prof Kabudi)

Pia Kabudi amesema hivi karibuni Rais Magufuli ambaye ndiye mwenyekiti wa SADC ameziomba taasisi za fedha duniani na nchi wahisani kuziondolea madeni nchi za SADC ili ziwexe kushiriki kikamilifu katika kulidhibiti janga hili hatari la Corona.

Source: Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
Muongo huyu Magamba Kabudi. Magufuli anatafutwa anasema waandike yale yote yatakayozungumzwa. Muulizeni Magufuli ana kimbia nini? Mbona anawakimbia wenzake?
 
Mratibu co-ordinator aliyeshindwa kujenga ushawishi na imani kwa SADC na halafu kisha anafungiwa mipaka wacha ajigambe Dodoma lakini huko Rusumo, Tunduma, Namanga, Horohoro, Mutukula waTanzania wanabaki kushangaa kama kweli Tanzania ina ushawishi.

Membe atema cheche: Tanzania tunatengwa na majirani zetu, wanahisi tunasambaza Corona nchini kwao


Coronavirus: Tanzania hospitals overwhelmed - US
Travellers wearing face masks as protective measure wait to get their temperature checked at the border post with Kenya in Namanga
Image copyrightAFPImage captionTanzanians have been sceptical of the government's assurance that the crisis was not serious
The US embassy in Tanzania has warned that there is a risk of "exponential growth" of Covid-19 cases in the country, at a time when the government is not releasing data on new cases.
It added that hospitals in the main city, Dar es Salaam, were "overwhelmed" and that the chance of contracting the virus was "extremely high".
The embassy did not, however, give any evidence to back up its claims.
Tanzania's president has accused health officials of exaggerating the crisis.
John Magufuli has repeatedly urged people to attend services in churches and mosques, saying that prayers "can vanquish" the virus.
However, recent videos of night burials shared on social media have caused some to call into question the government's approach.
The World Health Organization (WHO) has also expressed concern about the government's strategy.
On 29 April, the last day official data was released, there were 509 cases, with 21 deaths.
Last week, President Magufuli revealed that he secretly had animals and fruits samples tested at the national health laboratory in charge of coronavirus and that a papaya (paw-paw), a quail bird, and a goat had returned positive results.
He later closed the laboratory and suspended the head.
People at church in Dar es Salaam, Tanzania - 5 April 2020
Image copyrightAFPImage captionSome churches have stopped services, but many are still packed on Sundays
The Tanzanian president is among several African leaders who have received orders for a herbal tonic touted by the president of Madagascar as a cure for Covid-19.
The WHO has warned against using untested medicine.
What did the US embassy say?
The US embassy statement advised Americans living in Tanzania to stay at home and limit interactions with people other than those they live with.
It went on to claim that hospitals in Dar es Salaam are overwhelmed and warned that due to the limited capacity of the healthcare system in the country, patients may face life-threatening delays for medical care.
The BBC asked the embassy to share its evidence but was referred to the Tanzanian ministry of health.
Twitter post by @usembassytz: Read the full Text at . U.S. Citizens Travelers in Tanzania  Please enroll in the Smart Traveler Enrollment Program at  to receive alerts and ensure you can be located in an emergency. Image Copyright @usembassytz@USEMBASSYTZ
Report
Presentational white space

More than four million people worldwide have contracted coronavirus, and the US has the highest number of infections - at least 1.3m - according to the John Hopkins University.
The Director of the US National Institute of Allergy and Infectious Diseases, Dr Anthony Fauci, said on Tuesday that the US death toll was probably higher than the official figure of 80,000.
What is being said in Tanzania?
Government spokesman Hassan Abbasi told the BBC he had "no comment" in response to the US embassy's statement.
The authorities have previously rejected accusations that the government was operating in secrecy and denial.
"The claims that Tanzania has wavered and isolated itself in the fight against Covid-19 are not true because Tanzania has provided leadership in the economic bloc of the Southern African countries (Sadc), which the country chairs, and it has continued to do so with respect and all efforts required," said Foreign Affairs Minister Palamagamba Kabudi.
Magufuli exchanging a foot greeting with opposition politician Maalim Seif Sharif Hamad
Image copyrightSTATE HOUSE TANZANIAImage captionJohn Magufuli (R) was one of the first leaders to do the "Wuhan shake"
However, a prominent Tanzanian opposition leader has accused Mr Magufuli, who missed a key meeting of East African leaders on Tuesday to deal with the coronavirus crisis, of making the country a "pariah".
Zitto Kabwe accused the president of "practising harmful policies" that would lead Tanzania to "unmitigated health and economic challenges".
p08c9ppd.jpg



Media captionCoronavirus: How Covid-19 is affecting remittances to Africa
Several MPs from the main opposition party, Chadema, have boycotted parliamentary sessions because they fear catching the virus.
The party said it ordered its members to quarantine following the death of three MPs in April - though the deaths have not been linked to coronavirus.
Presentational grey line
Life goes on as normal despite Covid-19
By Sammy Awami, BBC News, Dar es Salaam
The health alert from the US embassy does not necessarily mean the relationship between Tanzania and the US is deteriorating.
However, the unusually strong words used in the statement speaks volumes about what the US believes to be the magnitude of the disease in the country.
The lack of daily updates from the government makes it difficult to know for sure whether the situation in the country really is out of control.
Whatever the truth is, life has hardly changed from how it was before Tanzania reported its first Covid-19 case in March.
Markets and shopping centres continue to be packed with people, raising concerns that the virus could be spreading fast.
Many, however, wear masks and other face covering to protect themselves.
Shops, market centres, pubs and places of worship have also put water buckets and soap at entrance points and demand people wash their hands before entering
 
Pia Kabudi amesema hivi karibuni Rais Magufuli ambaye ndiye mwenyekiti wa SADC ameziomba taasisi za fedha duniani na nchi wahisani kuziondolea madeni nchi za SADC ili ziweze kushiriki kikamilifu katika kulidhibiti janga hili hatari la Corona.
Wananchi wengi wanatamani kuona print out as official statement ya SADC kuhusiana na janga hili. We need to come out as a major block in Sub-Saharan Africa kudai debt relief along with other initiatives to curb the impact of coronavirus to our economy
 
Back
Top Bottom