Hizo zote ni njama za CCM,mbona Rosam aziz,Ridhwani Kikwete na kikwete mwenyewe walivyomwaga mamilioni kwa Bashe ili kuwania urais wa federation hawakulizungumzia? Vikao vya waislam seminar rooms za education muda wa saa saba na tisa kupanga mikakati ya kupata urais ili watumie pesa za wanafunzi wanazolipa kujengea msikiti Nghonghona hawajalizungumzia? Suala la wale ma-ustadhat waliomchoma na pen,kumpiga mawe Ferdinand wa college of education mbona walikuwa kimya? Hawakuliona hilo? Suala la Kikula kuchelewesha kukamatwa kwa waliohusika kumpiga Ferdinand hadi amri ilipotoka kwa mkuu wa polisi,inakuwaje hapa kama si hata viongozi wa chuo wenyewe kuunga mkono UDINI? Mwisho chunguza ajila nyingi za UDOM,fanya tathmini,waislamu ni wengi kuliko wakristo,ina maana wakristo hakuna walio-qulify? Waache watege mabomu ambayo mwisho yatawalipukia wenyewe,mwisho UDOM MSIINGIZE SIASA KATIKA ELIMU,FANYENI KAZI MSIFUNGAMANE NA CHAMA CHOCHOTE,TUWE INTELLECTUALS NA SI KU-SAVE THE INTEREST OF GOVERNMET.