James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Hujamwelewa mtoa mada. Maome tena between lines. Hapo ameandika kinyume. Nilivyomuelewa ni kinyume na alivyoandika. Hapo dhana ya ujumbe ipo kinyume na maneno yake. Amini kwamba.Huo ushauri wako sishangai watanzania kuzidi kuwa maskini na Ccm kuzidi kutawala