Prof. Kindiki anatoa onyo kwa Odinga dhidi ya dhidi ya maandamano yenye vurugu

Prof. Kindiki anatoa onyo kwa Odinga dhidi ya dhidi ya maandamano yenye vurugu

Huo ushauri wako sishangai watanzania kuzidi kuwa maskini na Ccm kuzidi kutawala
Hujamwelewa mtoa mada. Maome tena between lines. Hapo ameandika kinyume. Nilivyomuelewa ni kinyume na alivyoandika. Hapo dhana ya ujumbe ipo kinyume na maneno yake. Amini kwamba.
 
Watch out kuanzia jumatano hadi ijumaa maandamano..nachokiona ni moto kukolezwa...kila mtu akipeleka vijana wake kupambana hali itakuwaje? Wameamua kuchoma nchi yao....
 
Kiukweli Jeshi la polisi limetumia hekima kuzuia Maandamano ya UVCCM kwani wanaokufaga huwa hawahusiani kabisa na Maandamano mfano Akwilina pale Kinondoni Magomeni

Hata Maandamano ya Kenya polisi waliishia kuwaua Wanafunzi wasio na Hatia

Mlale Unono!
Pale ruto hana namna miaka 5 yake itakua ya dhoruba la wenye nchi
 
Kiukweli Jeshi la polisi limetumia hekima kuzuia Maandamano ya UVCCM kwani wanaokufaga huwa hawahusiani kabisa na Maandamano mfano Akwilina pale Kinondoni Magomeni

Hata Maandamano ya Kenya polisi waliishia kuwaua Wanafunzi wasio na Hatia

Mlale Unono!
Kwani katiba inasemaje kuhusu maandamano?
 
Unadhani Kindiki na kasauti kake ana mkwara, vitisho au ukatiri kuliko mzee Moi?

Raila amefanya Hadi uhaini enzi za utawala wa kikatili wa Moi. Kindiki anatakiwa kumwambia boss wake akae na

Raila waweke sawa mambo yao sio kwa mikwara mbuzi wanayoleta.
Ruto ni moja wa marais mafala sana.
Raila ni kitu kidogo tu anatulia.

Ajifunze kwa Uhuru.
Ruto anabweka kila siku lakini Odinga anafanya atakavyo.
 
Back
Top Bottom