James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Hujamwelewa mtoa mada. Maome tena between lines. Hapo ameandika kinyume. Nilivyomuelewa ni kinyume na alivyoandika. Hapo dhana ya ujumbe ipo kinyume na maneno yake. Amini kwamba.Huo ushauri wako sishangai watanzania kuzidi kuwa maskini na Ccm kuzidi kutawala
Instead of giving a counter argument you decided to parade your ignorance. SMH!Kaandamane na mumeo kama wapenda kuandamana!!
Pale ruto hana namna miaka 5 yake itakua ya dhoruba la wenye nchiKiukweli Jeshi la polisi limetumia hekima kuzuia Maandamano ya UVCCM kwani wanaokufaga huwa hawahusiani kabisa na Maandamano mfano Akwilina pale Kinondoni Magomeni
Hata Maandamano ya Kenya polisi waliishia kuwaua Wanafunzi wasio na Hatia
Mlale Unono!
Kwani katiba inasemaje kuhusu maandamano?Kiukweli Jeshi la polisi limetumia hekima kuzuia Maandamano ya UVCCM kwani wanaokufaga huwa hawahusiani kabisa na Maandamano mfano Akwilina pale Kinondoni Magomeni
Hata Maandamano ya Kenya polisi waliishia kuwaua Wanafunzi wasio na Hatia
Mlale Unono!
Yanahitaji ruhusa ya polisiKwani katiba inasemaje kuhusu maandamano?
Da'Mange akiwaambia muingie barabarani mnajificha uvunguni.🤣🤣Hayo maandamano yao ni ya njaa waachane nayo wayahamishie kwetu. Sisi angalau tuna sababu za msingi za kuandamana. Nchi inapelekwa utumwani Babeli kwa mwarabu tukiwa tunashuhudia mchana kweupe.
Ruto ni moja wa marais mafala sana.Unadhani Kindiki na kasauti kake ana mkwara, vitisho au ukatiri kuliko mzee Moi?
Raila amefanya Hadi uhaini enzi za utawala wa kikatili wa Moi. Kindiki anatakiwa kumwambia boss wake akae na
Raila waweke sawa mambo yao sio kwa mikwara mbuzi wanayoleta.
Sasa unataka twende tupigwe risasi? Sasa tukifa sisi ni nani ataendelea kuipigania nchi?Da'Mange akiwaambia muingie barabarani mnajificha uvunguni.🤣🤣
Huo ndio uoga wenyewe🤣🤣Sasa unataka twende tupigwe risasi? Sasa tukifa sisi ni nani ataendelea kuipigania nchi?