Prof. Kitila Mkumbo - Achangia Mtaala Mpya wa Elimu

Prof. Kitila Mkumbo - Achangia Mtaala Mpya wa Elimu

If you cannot defeat them join them!Ukweli utabaki kuwa Ukweli tu kwamba kingereza kinahitajika kuliko kiswahili chetu.Na wasiojua Sababu ya kingereza kuwa na nguvu kuliko lugha zingine,Sababu ni hizi hapa,kwamba ili lugha iwe powerful lazima
1, taifa au mataifa yanayotumia lugha hiyo yawe na uwezo kiuchumi.Sasa linganisha uchumi wa mataifa yanayotumia kiswhili na kingereza kiuchumi(hapa namanisha indigenous country of English) eg Britain and USA
2.The language .must be well researched and documented.Haya angalia vitabu mbali mbali vya kitaluma kama falsafa,utawala,psychology etc vimeandikwa kwa kingereza nenda hata kwenye maktaba zetu za mikoa kama utapata vitabu vya maana vya kiswahili.
3, Pia lazima lugha hiyo utumike zaidi ktk nyanja za sayansi,huwezi kulinganisha kiswahili na kingereza ktk kuelezea issue za kisayansi,japo mtu atapinga kuwa sayansi sio kingereza.kwa kifupi Kuna Sababu nyingi Sana kwa nini kingereza ni powerful kuliko kiswahili.Na hata tupambane vipi hatuwezi kuuondoa Ukweli huu.Ni heri tuamue kuungana nacho tu kwa kukitumia kama lugha ya kufundishia
Hapo hapo nikuulize maswali.. Ulaya ni mataifa mangapi au mataifa gani lugha ya kufundishia ni Kiingereza?

Wote hao walitawaliwa na Muingereza lakini kwa nini waliachana na Kiingereza wakafundishia lugha zao?
Kama tusinge tawaliwa na Muingereza unadhani walotutawala wangefundisha kwa Kiingereza?

Kwa.nini Waingereza walitufundishwa kwa Kiingereza badala ya Kiswahili wakati wao walijifunza Kiswahili?

Na unaweza kunipa sababu?
 
Mwisho, nawakumbusha mwaka 2001 ama 2002 sijui kama ilikuwa hapa #Jamiiforums au Jamboforums, walianzisha thread za Kiingereza, zilikosa jabisa wachangiaji.

Na hata leo hii kama unabisha maneno yangu anzisha mada yoyote inayotamba hapa JF kwa Kiingereza, subiri feed back uone ni wangapi watakuwa interested hata kusoma tu.

Nenda Facebook, Instagram anzisha mada ya kiingereza utakuta 90% wanaochangia sii wakazi wa Tanzania. Unaweza chukia kwa nini watu wako hawachangii au hawafuatilii ukurasa wako kumbe tatizo sio wewe bali LUGHA unayotumia kupeleka ujumbe ndio sio sawa..
.
 
Back
Top Bottom