sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,632
- 4,737
Mungu akusamehe hujui unenalo.Muulize huyo mchungaji,wananchi watakula Flyovers?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu akusamehe hujui unenalo.Muulize huyo mchungaji,wananchi watakula Flyovers?
KKKT Kimara inawakilisha nguvu ya umoja katika kuleta maendeleo, huyo Mwanaume alichofanya kwenye hiyo miundombinu ya kanisani ni Komesha, Kitila amefanya vyema kuungana na wanamageuzi wa kweliMgombea Ubunge wa jimbo la Ubungo Prof Mkumbo leo amesali katika Kanisa la KKKT Kimara na hajatakiwa kuongea chochote kwa sababu yeye ni mgombea wa chama cha siasa.
Hata hivyo mchungaji Matsai amemtaka Prof Mkumbo kufikisha shukrani za usharika huo kwa Rais Magufuli ikiwemo ujenzi wa flyover za Ubungo na namna alivyoitokomeza Corona.
Mchungaji amewashangaa wanaokebehi maendeleo ya vitu na kusema watu hao hawajui walisemalo.
Maendeleo hayana vyama!
Mwamakula na Bagonza wao hawajiingizi kwenye Siasa??Mwambie huyu mchungaji ampigie kura otherwise tutahama hiloll kanisa kama anajiingiza kwenye siasa na njaa yake..
Hakuna mtumishi hapo huu utawala na munguMgombea Ubunge wa jimbo la Ubungo Prof Mkumbo leo amesali katika Kanisa la KKKT Kimara na hajatakiwa kuongea chochote kwa sababu yeye ni mgombea wa chama cha siasa.
Hata hivyo mchungaji Matsai amemtaka Prof Mkumbo kufikisha shukrani za usharika huo kwa Rais Magufuli ikiwemo ujenzi wa flyover za Ubungo na namna alivyoitokomeza Corona.
Mchungaji amewashangaa wanaokebehi maendeleo ya vitu na kusema watu hao hawajui walisemalo.
Maendeleo hayana vyama!
Kuwezeshwa kiuchumi ndo kukoje ? Au Serikali ikuletee hela mfukoni? Zinapojengwa flyover tunarahisisha ukuaji wa uchumi! Unajua ni fedha kiasi gani zilikua zinapotea kutokana na foleni?!Wananchi tunataka kuwezeshwa kiuchumi.
Usikariri kupata chips mayai ni lazima mayai kadhaa yavunjikeHuyo mchungaji ni taahira,lini alisimama na kutetea waumini wake kuvunjiwa nyumba zao na kua mafukara...kumbafu zake yeye na huyo prof kilaza
Kitila hajaenda Kanisani kusali alienda pale kujipitisha Sababu anajua lazima atasimamishwa akiamini ataongeza Kura habari za Mchungaji kusifu barabara niyeye kama mwananchi wa kawaida ila ukweli ni kwamba Usharika wa Kimara watu wanajielewa spana kwa jiwe zinamuhusuKKKT Kimara inawakilisha nguvu ya umoja katika kuleta maendeleo, huyo Mwanaume alichofanya kwenye hiyo miundombinu ya kanisani ni Komesha, Kitila amefanya vyema kuungana na wanamageuzi wa kweli
Walianza kuwa wakristo lini? Angalia kauli na matendo yao yanafanana na ukristo?Kwani CCM siyo wakristo?
KabisaMastai nje ya kanisa ni mbuzi?
Ufadhili wa Propesa KititaYaani waumini wamekuja kusali kanisani, wanataka kusikia habari za Yesu Kristo, yeye anaongea habari za CCM, sasa anataka iweje?
Mgombea Ubunge wa jimbo la Ubungo Prof Mkumbo leo amesali katika Kanisa la KKKT Kimara na hajatakiwa kuongea chochote kwa sababu yeye ni mgombea wa chama cha siasa.
Hata hivyo mchungaji Matsai amemtaka Prof Mkumbo kufikisha shukrani za usharika huo kwa Rais Magufuli ikiwemo ujenzi wa flyover za Ubungo na namna alivyoitokomeza Corona.
Mchungaji amewashangaa wanaokebehi maendeleo ya vitu na kusema watu hao hawajui walisemalo.
Maendeleo hayana vyama!
hajatakiwa kuongea chochote kwa sababu yeye ni mgombea wa chama cha siasa.
Hata hivyo mchungaji Matsai amemtaka Prof Mkumbo kufikisha shukrani za usharika huo kwa Rais Magufuli ikiwemo ujenzi wa flyover za Ubungo
Mchungaji amewashangaa wanaokebehi maendeleo ya vitu na kusema watu hao hawajui walisemalo.
Maendeleo hayana vyama!
Siasa ni pamoja na kujipitisha, ndo maana wengine walikuwa k.koo sokoni kununua matango na bigbrother kununua cadet za kampeni, bumper2bumperKitila hajaenda Kanisani kusali alienda pale kujipitisha Sababu anajua lazima atasimamishwa akiamini ataongeza Kura habari za Mchungaji kusifu barabara niyeye kama mwananchi wa kawaida ila ukweli ni kwamba Usharika wa Kimara watu wanajielewa spana kwa jiwe zinamuhusu
Maswali mengine ni ya kitaahira.Muulize huyo mchungaji,wananchi watakula Flyovers?
Bora anaekosoa kwa hoja badala ya jazbaProf. Mkumbo ni msaliti. Akiwa Mluteri alikubali kutumiwa na watawala kukosoa waraka wa KKKT wa Pasaka; jambo ambalo halikufanyika kwa waraka wa TEC!
Kwani CCM siyo wakristo?