Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Nimesikia Waziri wa viwanda na biashara Profesa Kitila Mkumbo leo amewaita Tume ya ushindani (FCC), timu ya Simba na wawekezaji ili kuwasuluhisha kwa kile alichoita migogoro na mkwamo wa uwekezaji Simba.
Huku ni kuvunja sheria, Sheria inataka Tume ya ushindani FCC iwe huru na isiingiliwe katika maamuzi yake. Sheria imeweka wazi mtu asiporidhika na maamuzi ya FCC anatakiwa kukata rufaa kwenda baraza la ushindani yaani Fair Competition Tribunal (FCT). Kama pia hautaridhika na maamuzi ya FCT unatakiwa kukata rufaa kwenda Court of Appeals/ mahakama ya rufani.
Sasa huu utaratibu wa mtu asiporidhika na maamuzi ya FCC Waziri anaingilia kati unatoka wapi? Je ni kwa vile ni Simba? Ni makampuni mangapi hayaridhiki na maamuzi ya FCC na haingilii?
Ndugu Kitila Mkumbo nakuhshimu Ila kwa hili umevinja sheria, acheni taasisi zifanye kazi kwa mujibu wa sheria msilete ushabiki kwenye maswala ya kisheria.
Huku ni kuvunja sheria, Sheria inataka Tume ya ushindani FCC iwe huru na isiingiliwe katika maamuzi yake. Sheria imeweka wazi mtu asiporidhika na maamuzi ya FCC anatakiwa kukata rufaa kwenda baraza la ushindani yaani Fair Competition Tribunal (FCT). Kama pia hautaridhika na maamuzi ya FCT unatakiwa kukata rufaa kwenda Court of Appeals/ mahakama ya rufani.
Sasa huu utaratibu wa mtu asiporidhika na maamuzi ya FCC Waziri anaingilia kati unatoka wapi? Je ni kwa vile ni Simba? Ni makampuni mangapi hayaridhiki na maamuzi ya FCC na haingilii?
Ndugu Kitila Mkumbo nakuhshimu Ila kwa hili umevinja sheria, acheni taasisi zifanye kazi kwa mujibu wa sheria msilete ushabiki kwenye maswala ya kisheria.