Prof. Kitila Mkumbo, hili la FCC unavunja Sheria

Prof. Kitila Mkumbo, hili la FCC unavunja Sheria

Wadau wanasema eti ccf wana hoji CEO kapatikana vipi ? Kwann klabu inaongozwa na Mo, ?

Kwa style hii hata ndugu zetu upande wa pili wata kwama kwa style iyo iyo maana huko nako shughuli zote zina ratibiwa na kusimamiwa na MSG kuanzia katibu mkuu mpaka wanao sajili wachezaji
Lakini inasemekana upande wa mwekezaji ulipiga hatua moja mbele kabla, kitendo cha kumteua CEO wa krabu wakati we ndo una asilimia 49 sio sahihi.

Pia inasemekana kwenye MOU inatakiwa MO aingize ile Billion 2 ndo waendelee mbele kitu ambacho MO hajafanya.

Kwa nilivyo msikiliza Kitila ni kama vile kuna watu wanataka kutumia njia ya shodtcut kufika huko mbele na ndiyo maana Prof anasisitiza hakuna shortcut lazima sheria ifuatwe.
 
Heshimuni wawekezaji.
Kuna Watanzania zaidi ya 200 kwa idadi wameajiriwa Simba Sports na Serikali inapata Kodi.
Kum'beza Muwekezaji yoyote ni fikra za Kimasikini.
MO aheshimiwe na wengine wenye nia ya kuwakeza.
 
Lakini inasemekana upande wa mwekezaji ulipiga hatua moja mbele kabla, kitendo cha kumteua CEO wa krabu wakati we ndo una asilimia 49 sio sahihi.

Pia inasemekana kwenye MOU inatakiwa MO aingize ile Billion 2 ndo waendelee mbele kitu ambacho MO hajafanya.

Kwa nilivyo msikiliza Kitila ni kama vile kuna watu wanataka kutumia njia ya shodtcut kufika huko mbele na ndiyo maana Prof anasisitiza hakuna shortcut lazima sheria ifuatwe.
Hahahaha
 
MO badala ya kufuata sheria anatafuta sympathy ya Public kutaka kuchukua Simba bure, mbumbumbu hawawezi kuelewa ndiyo maana wanapiga kelele tu hapa
 
Wanacho fanya FCC si kuikomoa Simba, FCC wanajua wengi wa mashabiki na wanachama ni ma Mbumbumbu na mwanya uo unataka kutumiwa na Bwanyenye MO kupitia pesa za familia yake kuifanya Simba ni moja ya vitegauchumi vyake. Asicho fahamu Waziri bila kufuata taratibu na Sheria za nchi Bwanyenye MO hawezi kuimiliki Simba. Wenye Simba yao walisha toa ushirikiano kwa FCC kupitia mlango wa nyuma ndio maana Bwanyenye amekwama. Kwasasa anatafuta huruma.
Sisi timu tunataka achukue bwanyenye mo.
 
Back
Top Bottom