Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Lakini inasemekana upande wa mwekezaji ulipiga hatua moja mbele kabla, kitendo cha kumteua CEO wa krabu wakati we ndo una asilimia 49 sio sahihi.Wadau wanasema eti ccf wana hoji CEO kapatikana vipi ? Kwann klabu inaongozwa na Mo, ?
Kwa style hii hata ndugu zetu upande wa pili wata kwama kwa style iyo iyo maana huko nako shughuli zote zina ratibiwa na kusimamiwa na MSG kuanzia katibu mkuu mpaka wanao sajili wachezaji
Pia inasemekana kwenye MOU inatakiwa MO aingize ile Billion 2 ndo waendelee mbele kitu ambacho MO hajafanya.
Kwa nilivyo msikiliza Kitila ni kama vile kuna watu wanataka kutumia njia ya shodtcut kufika huko mbele na ndiyo maana Prof anasisitiza hakuna shortcut lazima sheria ifuatwe.