Prof. Kitila Mkumbo: Kuhusu kupanda bei za mafuta "Desperate time needs Desperate Measures"

Unaweza tuu kwani wanasafirisha hivyo vitu hewani? Pili una wa.diploy kwenye maeneo potential huku maeneo mengine unafanya oparesheni kama ambavyo TRA wanafanya kila siku.

Wakwepa Kodi ndio hamtaki Ili msilipe Kodi.

Yupi katoa ushauri wa maana anaesrma tukope au anaesrma tulipe Kodi?
 
Jamani Tanzania tumepitia mengi, mnakumbuka enzi za Mpina na kupima urefu wa samaki, enzi zile kuwa msukuma ilikua qualification tosha ya kuteuliwa. Hivi neno Chato mbona limepotea ghafla kwenye midomo ya watu?
Sukuma gang hawaamini kinachoendelea.
Msumari wa mwisho ni kumrudisha Kinana kileleni.
 
Wewe ndio mpuuzi hata huelewi ulichoandika.
 
Kukurupuka nako ni umbumbumbu
Wapi hayo unayodai kasema Profesa?
weka ushahidi hapa
 
Misukule ya dikteta hasira zao Sasa wanamalizia kwa January Makamba,

Mama anawapiga sindano za kutosha,na bado Kinana ataanza kuwashughulikia mabaki ya dikteta ndani ya chama
 
Mzandiki wewe
 
Misukule ya dikteta hasira zao Sasa wanamalizia kwa January Makamba,

Mama anawapiga sindano za kutosha,na bado Kinana ataanza kuwashughulikia mabaki ya dikteta ndani ya chama
Chama gani hicho?
Huyo mama Daktari wa chama awapige sindano?
 
Mi maduka ya wahindi hata kitu kidogo wanatoa efd resit, wabongo ukiidai utaambiwa mashine mbovu.yaani ujanja janja tu na akikadiliwa kodi hudai kabambikiwa.SISI WEUSI TUNA TABU.
Leo mnajianika. Kumi na nane mnazijua?

Mtashindwa na kebehi zenu.
Makaburu gang!
 
namwona gambo kichwa hakiko sawa sijui anawaza nn
 
CCM ndio imetufikisha hapa...Mkumbo akiwa ni mmoja wao
 
Professorial rubbish.
Kuajiri mtu kwa salary ya laki mbili awe mwaminifu kuhakikisha unakusanya mapato ni akili za Prof wa TZ hizo.

Hili la kuajiri vijana ni ushauri wa mtoa mada sio wa Prof
 
Ushauri wa kipumbavu huu! Unataka rushwa ishamili tena hapa nchini? Unayajua madhara ya task forces hizi wee pimbi?
Wewe ndio mpumbavu,lini rushwa iliisha? Rushwa inashamiri kivipi kwa kuhakikisha watu wanadai na kutoa risiti?

Ulivyo fala huna hata cha maana unachoweza kushauri Ili kuongeza mapato ya serikali.

Nyie ndio majizi hamtaki kulipa Kodi,,kwamba mtu awe na pesa ya kutoa rushwa ila asikate risiti si atakuwa mwehu?πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Itatoa rushwa mara ngapi?
 
kuna kipindi ilisemwa wafanyabiashara walinyanyaswa sana katika ulipaji wa kodi,ikasemwa kuwa wabembelezwe tu ni waelewa watalipa kodi kwa hiari!! inakuaje tena mnashauri task force ya kuajiri vijana wa kulipwa 300,000 kufatilia utoaji risti??? uzalendo wa wafanyabiashara umeisha!?
 
Huyo nae ni sukuma[emoji1787]? Leo ni leo, mnaanza kuchanganyikiwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…