Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Kabisa! yani kama silaha zao tumeshachukua zote. CCM ushindi mapema tuMbunge wa Ubungo na Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amefichua kuwa mtifuano wa Tundu Lissu na Freeman Mbowe kwenye kinyang’anyiro cha Uchaguzi wa Uenyekiti CHADEMA umewasaidia kupata hoja za kuwapigia
View attachment 3203852
Iwepo tume huru ya uchaguzi kisha wabebe huo mtifuano wa cdm kwenye hoja zao, ndio watajua ni kwa kiwango gani wananchi wameichoka ccm.Mbunge wa Ubungo na Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amefichua kuwa mtifuano wa Tundu Lissu na Freeman Mbowe kwenye kinyang’anyiro cha Uchaguzi wa Uenyekiti CHADEMA umewasaidia kupata hoja za kuwapigia
View attachment 3203852
Soma: Kitila Mkumbo: Nimejipanga vilivyo kugombea Ubunge 2025, msije kudharau nyoka mdogo sumu ni ile ile!
Na uzuri, Lissu anawamudu sana hawa maprofeseri bosheni bosheni, yaani kuelekea octoba 205, nchi yetu itakuwa moto sana - huko ccm na huku cdm - JF wajiandae tu kwa michango ya wachangiaji humu. Bando lisije kupuunguaAnajifaragua, endapo LISSU atashinda , CCM watakiona Cha moto.
Masuala ya Abdul, Ma DP world , Ngorongoro , Katiba , Utekaji na vifo .
Sijui kwakweli
Hii ni maajabu! Unapigaje kitu kilichokufa?Wakuu
Kumbe na wao wamenogewa na show za FAM vs TAL [emoji23]
==
Mbunge wa Ubungo na Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amefichua kuwa mtifuano wa Tundu Lissu na Freeman Mbowe kwenye kinyang’anyiro cha Uchaguzi wa Uenyekiti CHADEMA umewasaidia kupata hoja za kuwapigia
View attachment 3203852
Soma: Kitila Mkumbo: Nimejipanga vilivyo kugombea Ubunge 2025, msije kudharau nyoka mdogo sumu ni ile ile!
Itakuwa ni 🔥🔥🔥🔥Anajifaragua, endapo LISSU atashinda , CCM watakiona Cha moto.
Masuala ya Abdul, Ma DP world , Ngorongoro , Katiba , Utekaji na vifo .
Sijui kwakweli
Hii ni kweli.Wakuu
Kumbe na wao wamenogewa na show za FAM vs TAL 😂
==
Mbunge wa Ubungo na Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amefichua kuwa mtifuano wa Tundu Lissu na Freeman Mbowe kwenye kinyang’anyiro cha Uchaguzi wa Uenyekiti CHADEMA umewasaidia kupata hoja za kuwapigia
View attachment 3203852
Soma: Kitila Mkumbo: Nimejipanga vilivyo kugombea Ubunge 2025, msije kudharau nyoka mdogo sumu ni ile ile!
Halafu anajiita professor 🙌🏿🙌🏿🏃🏿Wakuu
Kumbe na wao wamenogewa na show za FAM vs TAL 😂
==
Mbunge wa Ubungo na Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amefichua kuwa mtifuano wa Tundu Lissu na Freeman Mbowe kwenye kinyang’anyiro cha Uchaguzi wa Uenyekiti CHADEMA umewasaidia kupata hoja za kuwapigia
View attachment 3203852
Soma: Kitila Mkumbo: Nimejipanga vilivyo kugombea Ubunge 2025, msije kudharau nyoka mdogo sumu ni ile ile!
Katika ulimwengu wa maslahi hata maProfessor uhishiwa hoja, ukimbana vizuri Ethics zote zinakuma dilemma. Hawa ndiyo maprofesa wetu wa fourth world-ulimwengu wa nne.Wakuu
Kumbe na wao wamenogewa na show za FAM vs TAL 😂
==
Mbunge wa Ubungo na Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amefichua kuwa mtifuano wa Tundu Lissu na Freeman Mbowe kwenye kinyang’anyiro cha Uchaguzi wa Uenyekiti CHADEMA umewasaidia kupata hoja za kuwapigia
View attachment 3203852
Soma: Kitila Mkumbo: Nimejipanga vilivyo kugombea Ubunge 2025, msije kudharau nyoka mdogo sumu ni ile ile!
Huyu jamaa hana mvuto kwenye siasa ...labda ateuliwe kiti maalumu....ongea yake tu inaleta kizunguzungu...Prof wa sociology...Wakuu
Kumbe na wao wamenogewa na show za FAM vs TAL 😂
==
Mbunge wa Ubungo na Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amefichua kuwa mtifuano wa Tundu Lissu na Freeman Mbowe kwenye kinyang’anyiro cha Uchaguzi wa Uenyekiti CHADEMA umewasaidia kupata hoja za kuwapigia
View attachment 3203852
Soma: Kitila Mkumbo: Nimejipanga vilivyo kugombea Ubunge 2025, msije kudharau nyoka mdogo sumu ni ile ile!
Ndo siasa, hoja za kuipoga ccm zao zimejaa tele, chama Cha fomu moja😂😂Wakuu
Kumbe na wao wamenogewa na show za FAM vs TAL 😂
==
Mbunge wa Ubungo na Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amefichua kuwa mtifuano wa Tundu Lissu na Freeman Mbowe kwenye kinyang’anyiro cha Uchaguzi wa Uenyekiti CHADEMA umewasaidia kupata hoja za kuwapigia
View attachment 3203852
Soma: Kitila Mkumbo: Nimejipanga vilivyo kugombea Ubunge 2025, msije kudharau nyoka mdogo sumu ni ile ile!