Prof. Kitila Mkumbo ni kweli zile bilioni 600 za maji zilitosha?

tawakkul

Member
Joined
Oct 12, 2022
Posts
90
Reaction score
71

Picha: Prof. Kitila Mkumbo

Habari Prof!

Njoo hapa tuambie, ulipokuwa Katibu Mkuu Wizara ya maji, bajeti ya wizara yako ilikuwa bil 600. Wadau walipokuuliza kama zitatosha, ulijjibu ndiyo.

Mbona leo shida ya maji bado ni kubwa sana? Ile ilitosha kwenye kitu gani au Ubungo tu?

ANGALIZO:
Watendaji na wasomi wa nchi hii, tumieni taaluma zenu na weledi wenu kusimamia ukweli utawafikisha pazuri kuliko kuwasujudia wanasiasa.

Wewe ni msomi tena wa chuo kikuu cha UDSM una wasiwasi gani kusimamia usomi wako?

Msione watu wanapewa PhD rahisi kama Msukuma you must know that chanzo ni nyinyi kutokuonyesha usomi wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…