BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema katika ripoti ya Hali ya Uchumi nchini imeonesha Pato la Wananchi (GDP Per Capital Income) limepanda kutoka Dola za Marekani 399.5 (Tsh. 322,397) mwaka 2000 hadi kufikia Dola 1,200 (Tsh. 2,880,000).
Akifafanua zaidi amesema "Tukisema hivyo watu wanauliza mbona hizo fedha mbona mfukoni sina, hesabu zake ni kukusanya mapato ya Nchi nzima ambayo yakafikia Tsh. Trilioni 141 unagawanya kwa idadi ya Watu ndio unapata pato la kila mtu."
Akifafanua zaidi amesema "Tukisema hivyo watu wanauliza mbona hizo fedha mbona mfukoni sina, hesabu zake ni kukusanya mapato ya Nchi nzima ambayo yakafikia Tsh. Trilioni 141 unagawanya kwa idadi ya Watu ndio unapata pato la kila mtu."